Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Huwezi kupata ... Narudia tena huwezi pata utaishia kuchezewa tu


Mwanamke akiwa selective tena kwa sifa hizo labda umuumbe wewe huyo mwanaume

Sent From My Nokia Ya Tochi
 
Na sisi wazalishaji hatuzalishi tu eti kwa kila mwanamke, tuna vigezo vyetu. Weka picha yako hapo tukuone iwapo umefikia viwango vyetu.
 
Njo
Njoo kwangu tufyatue watoto(in Magufuri voice)
 
Habari zenu wanachama wa JF,

Natafuta mwanaume ambae Mungu akitujalia awe mwana ndoa wangu, umri kuanzia miaka 27 kuendelea, awe na kazi yoyote inayo weza kumuingizia kipato kujituma maji ya kunde urefu futi 5, Mkiristo awe na mapenzi ya dhati.

Kwa upande wangu sijawahi zaa, sijawahi olewa, mcheshi na mwenye msimamo thabiti mengine kuhusu mimi pm.

Tafadhari kama ujumbe huta upenda usinitafute pm
Karibuni mliovutiwa na ujumbe wangu
Mungu awabariki sana
 
Fainali uzeeni wahenga walisema.

driller⛏⚒
 
Mbona nliku pm wakati wa kutafuta mchumba??? Kwenda ukoo huna nia wewe.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.
 
Jilengeshe wakubake siku ya kurutubishwa!

If you know your enemy than yourself you shall never suffer a defeat
 
Mimi ni Dr nimeajiriwa Nina miaka 27 mkristo VIP unasemaje? 0757694702 jaribu kunitafuta nikurushie picha zangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi najitokeza kule kwenye tangazo la kukuzalisha,vipi umebadili msimamo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…