Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Kihuba bibie,

Kila la kheri katika hitajio la moyo wako,

Mungu akusaidie umpate wa kufanana na kufaana naye.
 
The harsh Truth is men were created to Lead.As a matter of fact men wants greatness,and for that reason it's hard to condition a man(men hate to be told what to do).Men choose,women are chosen!!!
Remain single my sister otherwise utaishia kuwa broken heart.
 
Unatafta mchumba au unatoa vitisho???....iv kabla ata sijakona nna sababu yakukutana na ww kwel??....kwa kuona tu unachoandika nimegundua unasafar ndefu sana yakumtafta mwenza uyo....all the best
 
ukwel mchungu mkuu...uyo atasugua sana benchi
 
Tulipokuwa wote chuoni kila siku Klabu, unajirusha na mapedeshee waliokubuhu sasa unakuja kuomba po ! hujui ndio walewale uliokuwa unatuona washamba unaturuka na kweda kupata wenye pesa mjini ndio tuko huku na ID fake?
 
Utamaduni wa magharibi naona unazidi kukomaa Tanzania makapela mnaitwa huku
 
tatizo hamjui jinsi ya kufahamu aliye bora kwako... mnataka mtu ambaye kashajipanga kimaisha ana nyumba nzuri, gari kali na kazi nzuri ndo mnamuona mwanaume anayefaa... upendo ni kupendana kwa dhati sio kupunguziana ukali wa maisha..!!!
 
aiseee
 
Njoo pm tuonane mapema tu, maana sina jinsi mwaka huu ni wangu kupata jiko.
 
Yaani kote safi kasoro mashine tu maana imepinda balaa kwenda juu
 
Ntajuaje hali ya mashine bila kuipima oil! Kupima oil lazima siku hizi. Je, ndoa itakuwa ya watoto au bahatisha?? Kama ni hiyo lazima tuoteshe mbegu kabla sijachukua shamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…