Nakumbuka hapo cha miaka ya 2013 niliwahi kuwa kwenye foleni ya barabara ndogo tunasubiri kuingia barabara kuu , Ghafla nikahisi kishindo kizito kwenye buti, kuagalia nyuma ni gari aina ya mark 2 Grande imeparamia.
Sikupoteza muda nilishuka na sura ya kazi nikaifuata gari iliyoparamia, Kulikuwa na kijana age kama 25 kwa mbali niliona kama ana hofi lakini alikuwa mstaarabu alikiri kosa hivyo nikamwambia twende eneo la karibu la wazi tukayakenge.
Mara ya kwanza alisema tukairekebishe gari kwa fundi wake lakini nilikataa kwasababu nina mafundi wangu walio karibu na eneo la tukio, nashukuru tena kijana alikuwa mstaarabu hivyo tuliongozana hadi garage, fundi akapiga hesabu ni elf 80.
Kijana akaniambia anaenda kuitoa mpesa niliiacha gari yangu garage tukapanda yake, kufika kwa wakala tukamalizana nikarudi garage na kumaliza shughuli.
Sikupoteza muda nilishuka na sura ya kazi nikaifuata gari iliyoparamia, Kulikuwa na kijana age kama 25 kwa mbali niliona kama ana hofi lakini alikuwa mstaarabu alikiri kosa hivyo nikamwambia twende eneo la karibu la wazi tukayakenge.
Mara ya kwanza alisema tukairekebishe gari kwa fundi wake lakini nilikataa kwasababu nina mafundi wangu walio karibu na eneo la tukio, nashukuru tena kijana alikuwa mstaarabu hivyo tuliongozana hadi garage, fundi akapiga hesabu ni elf 80.
Kijana akaniambia anaenda kuitoa mpesa niliiacha gari yangu garage tukapanda yake, kufika kwa wakala tukamalizana nikarudi garage na kumaliza shughuli.