Baada ya kuligundua hili, najitoa rasmi jf

Hahaha,siamn km kuna baadhi ya binadamu hawajiamn na wanajidharau kiasi hiki,nenda salama Small thinker
 
Mkuu, kwa Uzi huu wewe ni Great thinker, usijidharau, mbona km mimi kichwani kwangu hamna kitu, Lkn umefanya nicheke hadi jamaa wananishangaa.
 
Pengine hujawahi kuingia Jukwaa La Mahusiano ndiyo maana unasema watu wa Jf tupo serious sana
 
Usijali huu uzi utafika komenti zaidi ya mia na utakuwa g.th
 
Nimeipenda hii strategy yako ya kutaka comments 100+

[emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…