pharao
JF-Expert Member
- Jan 17, 2017
- 397
- 690
Habari wapendwa, nilikuwa na tatizo la Apendex, na Mungu mkubwa nimefanyiwa operation hii wiki iliyopita,
Ila Baada ya kuchomwa ile sindano ya usingizi, Anesthesia baada ya kuamka nikawa naona maluelue hadi leo bado sioni vitu clear! hasa Computer naomba kujua hili tatizo linaweza kutoka kwa kufanya nini.