Betterhalf
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 2,882
- 2,560
Tobaaabora nukta kuliko kulipa bill mwaka mzima mkuu? unaweza kukuta umetiwa hata na muuza genge siku watoto wamekosa chakula
Nina mkia mbele nina mke na mtotoaisee .kweli hakuna wajibu? wewe ni ninsia gani mkuu? umeoa?
Nashangaaa...ngoja tupige domo.Dada yangu Miss Natafuta ni nini unatafuta kwa hii siredii!!? [emoji3][emoji3]
Never trust a women! Ukute kazibuliwa lingumi kmua kumsemea jamaa uongo..hawa watu ukitaka kupiga piga ad alazwe kama uwez achana nae sio kumpapasa kama hyu kaja kulia lia kinafiki humu akati ajaguswa.naomba mods msidelete post yangu kisa nimemtaja mtu mkumbuke mwenyewe ndo kaweka mambo yao hadharani kwenye mitandao hapa tunamalizia tu mjadala.
binafsi sijawai kumkubali joyce kiria kiviile japo ana mambo ambayo huwa anafanya yana positive impact kwa jamii .ila kuna mahali huwa anajichanganya sana hadi mtu unajiuliza huyu mama vipi.
jana kapewa kichapo kitakatifu na mume wake ,yule jamaa handsome sana nadhani yule mwanamke alimpush to the limit.
anadai eti yeye mwanamke ndo analipa bills zote za familia hadi kodi ya nyumba.sasa nimetafakari japo mimi wala sijaligi mambo ya watu .huyu mwanamke anaishi nyumba ya kupanga mbezi beach tena ghorofa ,mi nilijua ni nyumba yao. anaishi maisha ya juu hasara kwa nani .alipishwe mwenyewe hizo bills
na nyie wanaume unaishije nyumbani hata sabuni hununui jamani? kweli ? acheni hizo makamanda .ndo maana mimi sipendi wanaume wa chadema bora wazee wa lumumba buku saba daily sio mbaya .
video akimchamba mume asielipa hata kodi ya nyumba
Emmyta na Karucee...nawakubalini sana.Mko positive sana...Big up.Mie naona anajifariji tu hapo ila ujinga aliusababisha mwenyewe tangia mwanzo kwa kujipachika majukumu ambayo kwa upande mwingine wangeweza kusaidiana.
Pia nampa pole sana sababu kama ni kweli alikuwa analipa hadi kodi ya nyumba ni hela nyingi sana ambayo alishaipoteza.
Ila wanaume na nyie hebu jifunzeni kusimama kama wanaume basi. Khaaa.
unapozungumzia shida au raha unamaanisha nini? yaani uache majukumu yako useme una shida? mwanaume unapoacha kujishughulisha na huku una nguvu wewe ni mzigo kwa jamii.fine mkeo atakuvumilia .je watoto? au wazazi wako na ndugu kama wapo. usijiangalie mwenyewe mkuu.shida zipo mkuu kama ugonjwa ,ulemavu ,kifungo etc ila kama una nguvu pambana .Nyie mnapofunga ndoa mnasema tutaishi sote kwa shida na raha mfute hizi kauli.
SenseIshiwa tujue tabia ya mkeo
Bado alikuwa amejitunisha lakini hakufanya kwa dhamira ya dhati.Tatizo hapo utakuta mwanamke alitaka kuishi maisha ya juu ilhali mwanaume uwezo wake ni wakawaida.
Ili kuonesha ataweza akaamua kumwambia mwanaume nitasimamia show zote!
anaokoa jahali lisizame kwenye ndoa za wanaume wavivu.sio mtu wa sport sport anadhamini hata nyanya na vitunguu mboga inapatikanaMuuza genge wewe unamchukuliaje? Dharau
Tena kubwaMuuza genge wewe unamchukuliaje? Dharau
ni fala sana shoga yako yule. hata wale mabeki tatu anaowatrrain wana akili kuliko yeye.Hongera sana Joyce kwa kuandika your dirty laundry out in the open for every one to see. Job well done.
kwanini nwanaume mnajisahau jamani?Nimekunda buree mkuu
Ahsante sana MkuuEmmyta na Karucee...nawakubalini sana.Mko positive sana...Big up.
Najua we ni mwanamke kama umeolewa nadhani utakua na uvumilivu kisa uchumi ujakutwa na uchumi kuyumba nadhani ungekua mwalimu mzuri we ni wakishua na mumeo wa kishua usiombe kufirisika mama omba ubaki ivo ivo nadhani umri wake mdgo we utakua under 25 na bwana ako under 30 unaitaji mafunzo kwa vitendo alafu ndo uje na swala la wajibu nadhani we umetoka kwenye slay Queen ndo mana bado jipe mdaaisee .kweli hakuna wajibu? wewe ni ninsia gani mkuu? umeoa?