[emoji23]ma Joyce watakoma mwaka huuhahaahahhhhhhhhh
Chuo cha pili hiki, cha kwanza kaomba talaka kwa tarumbet hiki sijui ataomba singeli michanoAnatafuta attention na sympathy za watu, kumbe anajidhalilisha tu!
Yawezekana ni kweli mwanaume hatimizi majukumu yake kwa sababu moja ama nyingine lkn sio kuja kumtangaza mtandaoni, kama wao kwa wao walishindwa kuelewana bado alikuwa na nafasi ya kutafuta suluhisho kwa njia nyingine lakini sio hii aliyoitumia
Kiria katoka wapi Machame?Kumbe huyu bibi ni Mmachame mkuu?
HahahahahaNtakutumia namba ya my Mr. umfundishe jinsi ya kunipiga na wivu wake ule....maana si kwa mingumi nazibuliwa usoni ( usoni anapenda sana ili aniharibu reception nisitongozwe[emoji23] [emoji23] [emoji23] )
Kuuumbeee!!Ukiamua kuishi na mtu basi uvumilie kwelikweli.
Wakati anakubali kuolewa alikuwa hajui kama huyo mumewe hawezi kulipa bills?! Na kama huyo mwanaume hafai kwann haachani nae atafute mwingine wa kulipa bills.
Wakati huyo jamaa anagombania ubunge mbona alikuwa hasemi haya yote sifa zilikuwa kedekede nw ndio jamaa kawa mbaya. Huyu kweli bado ana akili ya kibeki 3
ukitaka kuwajua hawa poteza kazi kwa miezi mitatu tu...........lkn wao unaweza ishi nao milele bila kuwa na kazi yenye kipatoUkiamua kuishi na mtu basi uvumilie kwelikweli.
Wakati anakubali kuolewa alikuwa hajui kama huyo mumewe hawezi kulipa bills?! Na kama huyo mwanaume hafai kwann haachani nae atafute mwingine wa kulipa bills.
Wakati huyo jamaa anagombania ubunge mbona alikuwa hasemi haya yote sifa zilikuwa kedekede nw ndio jamaa kawa mbaya. Huyu kweli bado ana akili ya kibeki 3
Dada yangu ndo kishaachwa hivyo kwa sababu ya huu ujinga.Mwanamke inabidi uwe wa kwanza kujua Hali ya Kipato cha mumeo na uweze kuish kulingana na wakati Unajua Kabisa Hali ya mume wako ni tete Unakubali Kuish Vipi kwenye nyumba ya gharama kubwa, na Kama basi unauwezo WA kulipa basi usilalamike .
Hili ni tatizo la wanawake wengi hasa Kizazi cha Sasa,mwanaume uwezo wake kupanga chumba na varanda, yeye atataka nyumba nzima, akidai atalipa mambo yakimuwia magumu anaaza kulalama. Acha ya mkute.
Mkuu hela unaweza kopa,je mashine Nani atakuazima?bora nukta kuliko kulipa bill mwaka mzima mkuu? unaweza kukuta umetiwa hata na muuza genge siku watoto wamekosa chakula
HahahahahaUkikutana na Joyce mwenye akili mshukuru mungu..
Huyu ni sawa na Joyce wangu tuu kichwa maji
Haahahaaha *****hahaha eti salim kikeke !ni kawaida ndio hatukatai lakii kuna wanaume wengine anakuwa anamtegea mke kwa kila kitu !yaan namanisha kila kitu !inafika kipindi mke anazidiwa utazan ni singo mama kumbe ameolewa ! tupigane tafu ndio lakini acheni ukitonga ! inakeraga pale mie najitoa kusaidia 90% we ukipata mshahara wako unachoona cha faida ni kulipia dstv tu !ili uchek mamipira yako !mxiew
Kwahio kwa akili ya kawaida ulitaka mwanamke aachwe tu ajiendee anavyojiskia hata kama ana kauli mbovu na kukosa staha kama mtu mzima. Verbally abuse unaona sawa tu!?PAMOJA NA YOTE HAYO KUPIGA MKE ,MPENZI ,MTOTO WAKO NI UNYAMA AT ITS BEST,watanzania wengi tumezama mno kwenye mfumo dume unaomfanya ME ndio awe ni kila kitu ikiwemo kupiga,ni wakati sasa serikali itaanza kutekeleza sheria zake kuhusiana na GENDER ISSUES,tukubaliane kuwa watoto na wanawake wanaonewa mno ndani ya jamii yetu,na nimesikitika mno na mtoa mada ambaye bila shaka ni KE kumsifia ME huyu kwa kitendo kile cha kishezi alichokifanya kwa KE,ETI kipigo kitakatifu wakati huu ni unyanyasaji mkubwa,kupiga sio dawa ,UPENDO ndio ufumbuzi na ndio njia ya kwenda,taifa bora linajengwa kutokana na kuwa na familia zenye upendo.
KumbeJoyce hana akili yule. Tangu mwanzo Kilewo alimwambia wapange nyumba za kawaida ila J alikataa katakata akalazimisha kukaa kwenye mgolofa ule.
Haya, tupeleke watoto shule za academy ila za kawaida J akakataa ASA ata kama wewe utafanyaje???
So J apambane na hali yake
Hahahaha mwanamke hawezi kukuacha salama maisha ya kula bata na mshahara yakibadilika na kuwa maisha ya vuta nikuvute. Pangu pakavu unga robo...***** lazma akusomeshe namba tu!ukitaka kuwajua hawa poteza kazi kwa miezi mitatu tu...........lkn wao unaweza ishi nao milele bila kuwa na kazi yenye kipato
Una maana gani 'mwanaume kutosomama kwenye nafasi yaka?Joyce Kiria anawakilisha wanawake wapumbavu duniani? . Je, Kilewo anatudhalilisha wanaume!?
Ni kweli wanawake wengine ni stubborn si kidogo,. Na wengi ni nature yao. Mwanamke silaha yake kubwa ni "mdomo" narudia "mdomo ". Na ukimkanya kidogo (kwa kibao kidogo) hata cha huba atapiga kelele mithili ya kuku aliye taga kwa mara ya kwanza.
Katika mazingira hayo, wanaume wasio na busara na hekima zawadi pekee anayo weza mpatia mwanamke ni kipigo. Nasema atasema anamfunza adabu." Kosa"
Maandiko ya Biblia yanaeleza wazi kuwa mwanaume atabaki kuwa Kichwa cha familia ikisaidiana na mkewe kwa karibu. Km Kichwa cha nyumba baba yafaa uelewa tabia za mwanamke, na uishi nae kwa akili. Narudi kwa akili! Tofauti na hapo aibu itakuwa ya kwako hata kama kosa ni lake. Haitakuwa tofauti na unapo kuwa unaoga, halafu atokee kichaa abebe nguo zake, then uenze kumkimbiza. Matokeo yake ama wote mtaonekana viachaa au wanao kujua watajua wew ndiwe umerukwa na akili.
Wanawake wameumbwa na hisia kali "Emotional" ndio maana anaweza kukwambia nipige "uone! Na ukimtazama ni mtu ambaye hampo nae sawa kinguvu na ukimtia "kelb" moja ya kumfundisha adabu ataanza kupiga mayoweeee.. Ukimuacha atasema "una muogopa " Nini kifanyike, Wanaume ishini na wake zenu kwa akili.
Kuna wanawake wengine ni wagomvi wanawagombeza waume zao popote walipo, wanawatusi, wana wapiga wanaume, tena vipigo vikali si kidogo. Wengine huwa wanawafungia nje, na wakati mwingine huwatimua kabisa, ila maskini wanaume, wao machozi ya Samaki, maumivu ndani kwa ndani "Akisema sana atamwambia mshikaji wake wa karibu!
Na wanaume nanyi tokea, mbona wao mkiwapiga kiduchu, ni kelele mtaa mzima? That's fair?
Aidha, Wanaume wanao kutana na madhila hao ama ni :-
*wanaume wanao lishwa, na kutunzwa na na wanawake wanao jiweza kiuchumi "mamaz au dadaz" yaani kazi yao = msingi ni kiuno. Ujinga!
*Wanaume wasio timiza majukumu yao ya ndani ya "ndoa " Sasa hapa Kuna sababu kadhaa ama ni tatizo la kimaumbile, tatizo kiafya, au Uvivu tu. Hapa lazima mwanamke awashe moto ndani. "Ji-adjust"
*Au sababu nyingine ni mwanaume kukosa msimamo, yamkini mwanamke ana uchumi imara kuliko wew, ila ukisha poteza legitimacy ya kimawazo, kifikra na msimamo nyumbani. Usitegemee kuheshimiwa hata na wanaume wenzio uraiani.
Mwsho, siungi mkono udhalilishaji wa kumpiga mwanamke, ila hadi kufikia kiwango cha kumtwanga mwanamke ni ishara kuwa wew mwanaume huna na umekosa ushawishi, Mwanamke amesha jua udhaifu wako, amesha kuvuta katika level zake, hivyo anakufanya anavyo ona inafaa. Ndoa nyingi mno, huwa uwanja wa ugomvi na sababu kubwa ni mwanaume kutosimama katika nafasi yake.
Nini Maoni Yako?
Ndimi, Noel Shao
Niitwe mara ngapi sasa mama, nishagaitwa kitaambo. Ukiwa hautaki ujinga wao unaitwa mwanaharakati, ila wao wakikataa ujinga wetu wanaitwa wanaume bora. Mfyuuuuuu!!!
mfyuuuuuuuuuuuuuuuuu extra large
Needs a lot of gutsJoyce ana hasira tu ya mambo mengine.lakini hakutakiwa kuongelea masuala ya nyumbani kwenye social media.Kilewo atamwelewa na watatatua tatizo lao