Baada ya kumdhalilisha mumewe, Joyce Kiria asema hataki ushauri kutoka kwa mtu yoyote

Chuo cha pili hiki, cha kwanza kaomba talaka kwa tarumbet hiki sijui ataomba singeli michano
 
Ndoa za kuingia kwa malengo tofauti hizi...!!
 
Ntakutumia namba ya my Mr. umfundishe jinsi ya kunipiga na wivu wake ule....maana si kwa mingumi nazibuliwa usoni ( usoni anapenda sana ili aniharibu reception nisitongozwe[emoji23] [emoji23] [emoji23] )
Hahahahaha
 
Kuuumbeee!!
 
ukitaka kuwajua hawa poteza kazi kwa miezi mitatu tu...........lkn wao unaweza ishi nao milele bila kuwa na kazi yenye kipato
 
Dada yangu ndo kishaachwa hivyo kwa sababu ya huu ujinga.
 
Haahahaaha *****
 
Mtaan namhurumia jamaa mmoja mkewe jobless ila anapenda maisha ya juu sijui siku jamaa akifulia hali itakuwaje.
 
Kwahio kwa akili ya kawaida ulitaka mwanamke aachwe tu ajiendee anavyojiskia hata kama ana kauli mbovu na kukosa staha kama mtu mzima. Verbally abuse unaona sawa tu!?
 
Kumbe
Mjinga kweli
 
ukitaka kuwajua hawa poteza kazi kwa miezi mitatu tu...........lkn wao unaweza ishi nao milele bila kuwa na kazi yenye kipato
Hahahaha mwanamke hawezi kukuacha salama maisha ya kula bata na mshahara yakibadilika na kuwa maisha ya vuta nikuvute. Pangu pakavu unga robo...***** lazma akusomeshe namba tu!
 
Una maana gani 'mwanaume kutosomama kwenye nafasi yaka?
 
Joyce ana hasira tu ya mambo mengine.lakini hakutakiwa kuongelea masuala ya nyumbani kwenye social media.Kilewo atamwelewa na watatatua tatizo lao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…