hivi unapangishaje ghorofa la millioni kadhaa? bora nipange chumba kimoja nijenge hata mbagala huko.wadada wa mjini wana mashow off sana .kumbe wanateketea kwa ndaniMwanamke inabidi uwe wa kwanza kujua Hali ya Kipato cha mumeo na uweze kuish kulingana na wakati Unajua Kabisa Hali ya mume wako ni tete Unakubali Kuish Vipi kwenye nyumba ya gharama kubwa, na Kama basi unauwezo WA kulipa basi usilalamike .
Hili ni tatizo la wanawake wengi hasa Kizazi cha Sasa,mwanaume uwezo wake kupanga chumba na varanda, yeye atataka nyumba nzima, akidai atalipa mambo yakimuwia magumu anaaza kulalama. Acha ya mkute.
Hilo nalo neno mkuuKunaitajika amendment kidogo kwenye mume/mke kwenye shida na raha napendekeza iwe kwenye raha tu shida kila mtu ana wazazi au mlezi ake aende na akaendelee na maisha yake mpk raha kwa pamoja irudi ndipo ndoa irudi
amepangisha gorofa baharini huko mkuu.hataki shidaNa mbwembwe zote hizo hajajenga.
Na usipoangalia Unaweza ukanwacha mumeo ukaolewa na muuza gengeanaokoa jahali lisizame kwenye ndoa za wanaume wavivu.sio mtu wa sport sport anadhamini hata nyanya na vitunguu mboga inapatikana
mkuu sipo unavofikiria sijaolewa wala sina hata boyfriend ila nachojua kila mtu kwenye ndoa ana wajibu wakeNajua we ni mwanamke kama umeolewa nadhani utakua na uvumilivu kisa uchumi ujakutwa na uchumi kuyumba nadhani ungekua mwalimu mzuri we ni wakishua na mumeo wa kishua usiombe kufirisika mama omba ubaki ivo ivo nadhani umri wake mdgo we utakua under 25 na bwana ako under 30 unaitaji mafunzo kwa vitendo alafu ndo uje na swala la wajibu nadhani we umetoka kwenye slay Queen ndo mana bado jipe mda
U mariooo ni shidaa mi nishaona kwa jamaa angu mkuukwanini nwanaume mnajisahau jamani?
Hujitambuwimijanaume inapenda lelewa sikuiziii
Acha waumbuke tu.hivi unapangishaje ghorofa la millioni kadhaa? bora nipange chumba kimoja nijenge hata mbagala huko.wadada wa mjini wana mashow off sana .kumbe wanateketea kwa ndani
joyce ana mashauzi balaa. hivi kweli alijirecord kabisa arushe mtandaoni ili iweje?Naona wanawake live imemgeukia, sasa ni Joyce live...
Kila mmoja ana changamoto zake, anafikiri kila mtu akianza kulia kwenye mitandao patatosha???
Mwanaume unamtengeneza mwenyewe sasa kama alikuwa kamzoesha kuishi bure apambane na khali yake tuu!!!
Kwani una uhakika huyo Kilewo hapambani? Inawezekana anapambana anaishia kuapata laki 3 kwa mwezi mzima ambayo kimsingi haitoshi kulipa kodi ya nyumba na matumizi mengine. Hiyo nayo ni shida. Ulitaka apambane vipi? Auze dawa za kulevya? Au kwako wewe hiyo sio shida.unapozungumzia shida au raha unamaanisha nini? yaani uache majukumu yako useme una shida? mwanaume unapoacha kujishughulisha na huku una nguvu wewe ni mzigo kwa jamii.fine mkeo atakuvumilia .je watoto? au wazazi wako na ndugu kama wapo. usijiangalie mwenyewe mkuu.shida zipo mkuu kama ugonjwa ,ulemavu ,kifungo etc ila kama una nguvu pambana .