Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
- Thread starter
-
- #101
Ataenda wapi?Nitashangaa sn huyo mumewe akirudi kwenye hiyo nyumba baada ya hii video...elimu ni kitu kizuri sn jamani joyce angekuwa amefika hata form 4 asingweza kufanya haya
Ataenda wapi?
Kwani uongo? Stori zenu humu kila siku kuwasema vibaya wanaume wasio na pesa sasa mna tofauti gani na J? Kipato sisimizi lifestyle tembo!Acha kutukosea heshima bna
Kuna mambo mnalaumu wanawake bure tu, nyie ndio mnawatengeneza kuwa hivyo. Ukisharuhusu moja ruhusu tu na la pili.
Hilo sio la kuuliza, mwambie uwezo wangu ni wa tandale na tunakwenda kuishi tandale fullstop.Kama aliambiwa wakaishi ukonga Mombasa yeye anataka Mbezi na atasimamia show huyo mwanaume afanyeje? Tatizo mnaangalia sana mwenzako anaishi wapi? Na anaendesha gari gani? Mwisho wa Siku unaungua kwa ndani mkp unakuwa mkaa.Alichokosea K angekuwa na komandi tuu twende kuishi kule anakotoka mwanaume fuul stop.
Mkuu unamaanisha hadi mwalimu wangu Joyce ndalichako naye yumo inkuludedi?Ogopa sana Wanawake wenye Majina ya akina Joyce ..uwezowao wa kufikiri ni zeroooo hata awe connected na akina nani.. na walio wengi Mahusiano yao yamewashinda na wengi wanaishi kwa huruma ya wapita njiaaaaaaaaa
Teh teh teeeeh!!Mkuu me ndio maana nimeamua kuachana na madem walioishia hata form4. Ni mwendo chuo na kuendelea tu, wana stress za maisha sana hiyo types za Kiria
Kwani ana nini? Hebu elezea.Mkuu unamaanisha hadi mwalimu wangu Joyce ndalichako naye yumo inkuludedi?
out of the topic: huyu kiria sijui namwonaje ni vibaya mwaume kumkinai mtu ila huyu dada aseeh..
Ngoja kesi yake na mmewe iishe nitaelezaKwani ana nini? Hebu elezea.
Ambao hawajasoma kabisaa ni hatari sasa, waliosoma kidogo kama Kiria ndo hao pasua kichwa, acha nifuate waliosoma nifanye na bidii ya maombi labda Mungu atasikia kilio changuTeh teh teeeeh!!
Hujakutana na msomi pasua kichwa eeeh!!
We omba tu umpate mke bora baasi.
Mfuatilie utamjua nje ya Kuwa Waziri na Elimu yake...Mkuu unamaanisha hadi mwalimu wangu Joyce ndalichako naye yumo inkuludedi?
out of the topic: huyu kiria sijui namwonaje ni vibaya mwaume kumkinai mtu ila huyu dada aseeh..
ujamaa ni chanzo cha umasikini...unapozungumzia shida au raha unamaanisha nini? yaani uache majukumu yako useme una shida? mwanaume unapoacha kujishughulisha na huku una nguvu wewe ni mzigo kwa jamii.fine mkeo atakuvumilia .je watoto? au wazazi wako na ndugu kama wapo. usijiangalie mwenyewe mkuu.shida zipo mkuu kama ugonjwa ,ulemavu ,kifungo etc ila kama una nguvu pambana .
Eliza tu MkuuuNgoja kesi yake na mmewe iishe nitaeleza
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ngoja kesi yake na mmewe iishe nitaeleza
Amen, kila la kheri.Ambao hawajasoma kabisaa ni hatari sasa, waliosoma kidogo kama Kiria ndo hao pasua kichwa, acha nifuate waliosoma nifanye na bidii ya maombi labda Mungu atasikia kilio changu