Baada ya kumdhalilisha mumewe, Joyce Kiria asema hataki ushauri kutoka kwa mtu yoyote

Huyo jamaa hajui kupiga
Mwanamke anatakiwa kupigwa mpaka asiweze kuhojiwa na muandishi wa habari.


NB: usithubutu kumuonea mkeo, usimpige kila siku, usimpige bila sababu ya kumpiga, kumpiga ni hatua ya mbali sana, kuna adhabu nyingi sana ukiachana na kupiga ila inapofika hatua kwamba ni lazima umpige basi hakikisha umempiga kisawa sawa ili siku nyingine asirudie.

Na epuka kumzoesha kipigo mkeo, akiwa sugu utajuta
 
Hilo sio la kuuliza, mwambie uwezo wangu ni wa tandale na tunakwenda kuishi tandale fullstop.

Kwa showoff za J unafikiri angekubali. Na inawezekana aling'ang'ani huko Mbezi beach.
Wanawake hawajazoea kulipa bills hasa akiwa na mwenza wake, hata akiwa peke yake na ana kipato utasikia Mimi sina msaada nipo peke Yangu wkt anapata mshahara mrefu sana tuu.
Kuishi kwa kujionyesha kuwa mambo mazuri na showoff zimemkosti. My dear espy apambane na hali take.
 
Ukiona mtu anasikiliza upande mmoja na kutoa judgement ujue ana matatizo kichwani!Utasemaje Kilewo akitokea akatoa ushahidi kwamba yeye ndio analipa bills?
 
Baada ya ndoto za kufanya shopping dubai na pairs kuyeyuka kutokana na mme kukosa ubunge hayo ndio matokeo hana akili kabisa alifikiri ndoa ni yale makaratasi mpuuzi kweli huyo mdada anaanika mambo yake na mmewe hadharani ili iweje? Afu yule jamaa mpole na handsome balaa ngoja wadada wa mjini wamnyakue ndio atajifunza adabu alijua ndoa kula keki na kucheza kwaito na kupokea zawadi na kuzaa awe na heshima ukimuanika mmeo umejianika na wewe pia si mnasema watu wakioana ni mwili mmoja uyo jamaa mvumilivu kile kimama kidomo mfelembe kweli kana gubu ndio maana kimekomaa amuache akatafute wenye hela,
Heri ukosee kujenga Na sio kuo[emoji119]
Super woman my foot!! [emoji57][emoji57]
 
Wanawake wanasikitisha sana. 95% ya wanaume kwenye ndoa ndio wanaolipia:
[emoji830]Pango
[emoji830]Chakula
[emoji830]Karo za shule
[emoji830]Nguo za familia
[emoji830]Usafiri wa familia
[emoji830]nk.
Lakini hata siku moja hutawasikia wanaume wanalalamika gharama zinazowakabili.

Sasa tetereka kidogo tu katika kipato chako halafu mke alipe yeye pango la nyumba. Dunia nzima itajulishwa.

Ni nini hiki?
 
Inasikitisha sana...

Kuongelea mtu au watu siyo kitu kizuri, ila huyo mwanamke ana mambo ya ajabu sana...


Cc: mahondaw
 
Hongera sana Joyce kwa kuanika your dirty laundry out in the open for every one to see. Job well done.
Mbona umekuwa aggressive sana mkuu mpeni kitchen party kwanza
Tatizo ya barabaran yameshaingia ndan na ya ndani yapo barabaran
Hongera sana Joyce kwa kuanika your dirty laundry out in the open for every one to see. Job well done.
 
Kumbe dada angu ni wife materials!![emoji28][emoji28]
 
ukijifanya mwanaharakati sana .... mtu mwenyewe houz girl... darasa lenyewe la saba...

hakuna mwanaharakati tajiri.... akumbuke pia hilo, na harakati zake za kukomboa wakike wenzie, mwisho wasiku amekuwa mtumwa na ameshindwa kujikomboa... mungu hakupi vyote... ana tufundisha hapa hapa duniani... J, ana pata fundisho leo ili kesho atumike kama adidu za rejea kwa wajao na katika wanawake show...

dharau kwa mume... doooh, sijui watoto watakua wanaishi na taswira gani na wazazi wao... shuleni huko wanapo enda kukutana na watoto wenzao na kipindi hiki cha mitandao... ana wapa wakati mgumu sana watoto kwa ubinafsi wa kujiangalia yeye tu....

mungu ana funzo ktk hili.... sijui kama alishirikisha familia zao na wakamshauri aweke wazi ktk mitandao ya kijamii... nashindwa hata kuelewa nini ni nini na kipi...
 
Mumewe anaweza kuwa ni mzigo, ila huyu dada ni furushi la taka kabisa.
Alisema mumewe akishinda ubunge mtamkoma na vacation za dubai, sasa vacation tu hadi mtu awe mbunge?

Huyu dada ni zigo tena zigo remix.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…