Baada ya kumshindwa Rivers United FC jana kutokana na taa kuzima Mkapa Stadium, leo pia Wameshindwa kutua Dodoma kutokana na taa kutowaka Airport

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Yaani Uwanja wa Ndege wa Makao Makuu ya nchi Taa haziwaki (kumejitokeza changamoto ya Umeme) halafu bado unamuona Msemaji wa Serikali Gerson Msigwa akimsifia Boss wake mpaka kutaka Kukufuru kwa Fedha anazozitoa kwa Vilabu viwili Vikongwe na vyenye Upuuzi mwingi nchini Tanzania.

Ngoja niendelee tu kuukana kwa muda Utanzania wangu ili nami nisijumuishwe katika Kudharaulika na Mataifa Jirani na ya Duniani yenye Watu wenye Akili Kubwa.
 
Fitina zinalipwa hapa hapa duniani.....na usikute siku watakayokwenda kucheza na Singida, watanyeshewa na mvua ya mavi
 
πŸ˜†Fitina zinalipwa hapa hapa duniani.....na usikute siku watakayokwenda kucheza na Singida, watanyeshewa na mvua ya mavi
πŸ˜† πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…