Baada ya kumshughulikia Mwaikali, wamehamia kwa Kimaro. Viongozi KKKT hawataki nyota za wenzao kuonekana? Who is next?

Baada ya kumshughulikia Mwaikali, wamehamia kwa Kimaro. Viongozi KKKT hawataki nyota za wenzao kuonekana? Who is next?

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
kKKT ni kama Ina udikteta, imejaa viongozi wenye roho mbaya sana, makatili, washirikina, wamejaa wivu, husda.

Askofu Mwaikali aliondolewa kwa njia ya kuhudhunisha sana, taratibu zote za kanisa zilivunjwa kwa makusudi kwa lengo moja tu, kumkandamiza, kumuonea, kumdhalilisha Kuna askofu alisafiri toka Kilimanjaro kwa kazi hizo.

Hakuna nyota inayoruhusiwa kuonekana zaidi ya hao watu wawili.

Mchungaji Kimaro aliwatia roho juu, maofisini hawakai kwa amani, mitandaoni ni Kimaro, na baadhi waliamini ndio kiongozi mkuu wa KKKT Tanzania.

Kwa kweli, ukiacha wale wachungaji wanaofanya umachinga wa chumvi na maji, Kimaro alisimamia neno la Mungi, na alieleweka.

Hiyo ilimjengea maadui miongoni mwa wakuu wa kanisa, wakaandaa mitego ya kummaliza. Makanisani akihubiri askofu watu wanasinzia, akija Kimaro, roho wa Mungu anjaa na kufurika ndani ya mioyo na roho za watu.

Wivu ukawaka ndani ya nyoyo za wakuu wa kanisa, wakaapa kumfanyia fitina!

Wakati wao walipanga kuuza hotel ya kanisa huko Nyanda za juu kusini, Mwaikali akawazuia, wakamuandalia fujo kubwa sana mpaka wakamlaza rumande na kumfukuza uaskofu kwa kuchukua hata wapiga debe wa stendi na kuwafanya wajumbe wa mkutano mkuu wa kanisa wa kumfukuza Mwaikali.

Kama alivyosema Kimaro, kwamba kina madalali, maaskofu wawili walikopa na kuweka dhamana hoteli ya kanisa, na mabilioni waliyokopa hayajulikani yalipo. Wakaanda mnunuzi akanunue hoteli ya kanisa, mikataba mkononi, pamoja na ten pasenti, Mwaikali akasemaaa Noooooo! Hakiuzwi kitu hapa. Aliandamwa kila Kona, watu wakahongwa,.....

Sasa wamenogewa, Kila anayeibuka, wanataka kumfyeka
 
Kuna kanisa la demokrasia duniani, Mungu mwenyewe ni mfalme, anatoa AMRI, SHERIA NA MAAGIZO, kazi ya binadamu ni kutekeleza, kusifu na kuabudu. Demokrasia ni vyama vya siasa sio Imani, mwaikali kashaanzisha la kwake, hata kimaro anaweza na hakuna wa kumsumbua, Ila hata hata hayo makanisa yao hayatakuwa ya kidemokrasia
 
KKKT the figure head ni mmoja tu; Yesu Kristo. Sisi sote tupungue Yesu aongezeke. Yeyote anayetamani kuwa mkubwa wetu na awe mdogo wetu; hivi ndivyo Bwana wetu mpendwa Yesu Kristo alivyotuasa.

Baadhi ya wachungaji wameanza ka tabia ka kudokoa nafasi ya Yesu kwa kujitukuza - tukuza na kujikweza kiasi cha wao kuonekana zaidi kiasi cha Yesu kushindwa kupata nafasi ya kujifunua kwenye mioyo ya waumini.
Kwenye mioyo ya waumini anajaa mchungaji badala ya Yesu.

Tendency ya baadhi ya wachungaji wa KKKT kutaka kushindana kwa umaarufu na kina Mwamposa lazima idhibitiwe kwa ustawi wa kanisa la KKKT.

Musa alimtumikia Mungu kwa uaminifu lakini neno moja tu alilolitamka likamkosesha nafasi ya kuingia Kanani.

Kimaro kama binadamu anaweza akatereza, hatukatai lakini tuliache kanisa lifanye kazi yake. Wakimrejesha kwenye mstari akakaa sawa, atapangiwa usharika mwingine na ataendelea kufanya kazi shambani mwa Bwana 'kama kawaida'!
 
KKKT the figure head ni mmoja tu. Yesu Kristo. Sisi sote tupungue Yesu aongezeke. Yeyore anayetamani kuwa mkubwa wetu na awe mdogo wetu.
Baadhi ya wachungaji wameanza ka tabia ka kudokoa nafasi ya Yesu kwa kujitukuza tukuza na kujikweza kiasi cha wao kuinekana zaidi kiasi cha Yesu kushindwa kupata nafasi ya kujifunua kwenye mioyo ya waumini.
Kwenye mioyo ya waumini anajaa mchungaji badala ya Yesu...
Hilo Kanisa ni mradi wa Dk. Show, ni kama duka lake au saccoss yake. Akilenga fedha ukamzuia, anaweza kufanya chochote dhidi yako
 
Mmeshindwa kugawana sadaka za waumini kimyakimya sasa mnaparuana 😁😁😁

Ila uongozi umetoa notice ya kibabe mno.

Unapewa likizo ya siku 60 kwa lazima

Hakuna maswala ya kusema tunwachie mungu yaani unashughulikiwa kimamlaka
😀😀😁😁
 
Mmeshindwa kugawana sadaka za waumini kimyakimya sasa mnaparuana 😁😁😁

Ila uongozi umetoa notice ya kibabe mno.

Unapewa likizo ya siku 60 kwa lazima

Hakuna maswala ya kusema tunwachie mungu yaani unashughulikiwa kimamlaka
😀😀😁😁
Waswahili walisema, ngoma ikivuma sana hupasuka...
 
KKKT the figure head ni mmoja tu; Yesu Kristo. Sisi sote tupungue Yesu aongezeke. Yeyote anayetamani kuwa mkubwa wetu na awe mdogo wetu; hivi ndivyo Bwana wetu mpendwa Yesu Kristo alivyotuasa.
Baadhi ya wachungaji wameanza ka tabia ka kudokoa nafasi ya Yesu kwa kujitukuza - tukuza na kujikweza kiasi cha wao kuonekana zaidi kiasi cha Yesu kushindwa kupata nafasi ya kujifunua kwenye mioyo ya waumini.
Kwenye mioyo ya waumini anajaa mchungaji badala ya Yesu...
Tendency ya baadhi ya wachungaji wa KKKT kutaka kushindana kwa umaarufu na kina Mwamposa lazima idhibitiwe kwa ustawi wa kanisa la KKKT.
Musa alimtumikia Mungu kwa uaminifu lakini neno moja tu alilolitamka likamkosesha nafasi ya kuingia Kanani.
Kimaro kama binadamu anaweza akatereza, hatukatai lakini tuliache kanisa lifanye kazi yake. Wakimrejesha kwenye mstari akakaa sawa, atapangiwa usharika mwingine na ataendelea kufanya kazi shambani mwa Bwana 'kama kawaida'!
Utakuwa una mgao katika Hela zinazopigwa
 
Ukiwa mkamilifu na wa haki lazima makubwa yakupate. Hapo kuna upigaji kauingilia.
 
Kanisa lolote lisilo la kiMungu lazima litapingana na uamsho...
 
kKKT ni kama Ina udikteta, imejaa viongozi wenye roho mbaya sana, makatili, washirikina, wamejaa wivu, husda.

Askofu Mwaikali aliondolewa kwa njia ya kuhudhunisha sana, taratibu zote za kanisa zilivunjwa kwa makusudi kwa lengo moja tu, kumkandamiza, kumuonea, kumdhalilisha Kuna askofu alisafiri toka Kilimanjaro kwa kazi hizo.

Hakuna nyota inayoruhusiwa kuonekana zaidi ya hao watu wawili.

Mchungaji Kimaro aliwatia roho juu, maofisini hawakai kwa amani, mitandaoni ni Kimaro, na baadhi waliamini ndio kiongozi mkuu wa KKKT Tanzania.

Kwa kweli, ukiacha wale wachungaji wanaofanya umachinga wa chumvi na maji, Kimaro alisimamia neno la Mungi, na alieleweka.

Hiyo ilimjengea maadui miongoni mwa wakuu wa kanisa, wakaandaa mitego ya kummaliza. Makanisani akihubiri askofu watu wanasinzia, akija Kimaro, roho wa Mungu anjaa na kufurika ndani ya mioyo na roho za watu.

Wivu ukawaka ndani ya nyoyo za wakuu wa kanisa, wakaapa kumfanyia fitina!

Wakati wao walipanga kuuza hotel ya kanisa huko Nyanda za juu kusini, Mwaikali akawazuia, wakamuandalia fujo kubwa sana mpaka wakamlaza rumande na kumfukuza uaskofu kwa kuchukua hata wapiga debe wa stendi na kuwafanya wajumbe wa mkutano mkuu wa kanisa wa kumfukuza Mwaikali.

Kama alivyosema Kimaro, kwamba kina madalali, maaskofu wawili walikopa na kuweka dhamana hoteli ya kanisa, na mabilioni waliyokopa hayajulikani yalipo. Wakaanda mnunuzi akanunue hoteli ya kanisa, mikataba mkononi, pamoja na ten pasenti, Mwaikali akasemaaa Noooooo! Hakiuzwi kitu hapa. Aliandamwa kila Kona, watu wakahongwa,.....

Sasa wamenogewa, Kila anayeibuka, wanataka kumfyeka
Kuvunja taratibu ni hulka ya MTz! Ukishangaa ya ccm, utastaahabu ya kanisa! waTz wameoza kimaadili, ni wizi tu, sijui ni umasikini wa aina gani walionao?!!
 
kKKT ni kama Ina udikteta, imejaa viongozi wenye roho mbaya sana, makatili, washirikina, wamejaa wivu, husda.

Askofu Mwaikali aliondolewa kwa njia ya kuhudhunisha sana, taratibu zote za kanisa zilivunjwa kwa makusudi kwa lengo moja tu, kumkandamiza, kumuonea, kumdhalilisha Kuna askofu alisafiri toka Kilimanjaro kwa kazi hizo.

Hakuna nyota inayoruhusiwa kuonekana zaidi ya hao watu wawili.

Mchungaji Kimaro aliwatia roho juu, maofisini hawakai kwa amani, mitandaoni ni Kimaro, na baadhi waliamini ndio kiongozi mkuu wa KKKT Tanzania.

Kwa kweli, ukiacha wale wachungaji wanaofanya umachinga wa chumvi na maji, Kimaro alisimamia neno la Mungi, na alieleweka.

Hiyo ilimjengea maadui miongoni mwa wakuu wa kanisa, wakaandaa mitego ya kummaliza. Makanisani akihubiri askofu watu wanasinzia, akija Kimaro, roho wa Mungu anjaa na kufurika ndani ya mioyo na roho za watu.

Wivu ukawaka ndani ya nyoyo za wakuu wa kanisa, wakaapa kumfanyia fitina!

Wakati wao walipanga kuuza hotel ya kanisa huko Nyanda za juu kusini, Mwaikali akawazuia, wakamuandalia fujo kubwa sana mpaka wakamlaza rumande na kumfukuza uaskofu kwa kuchukua hata wapiga debe wa stendi na kuwafanya wajumbe wa mkutano mkuu wa kanisa wa kumfukuza Mwaikali.

Kama alivyosema Kimaro, kwamba kina madalali, maaskofu wawili walikopa na kuweka dhamana hoteli ya kanisa, na mabilioni waliyokopa hayajulikani yalipo. Wakaanda mnunuzi akanunue hoteli ya kanisa, mikataba mkononi, pamoja na ten pasenti, Mwaikali akasemaaa Noooooo! Hakiuzwi kitu hapa. Aliandamwa kila Kona, watu wakahongwa,.....

Sasa wamenogewa, Kila anayeibuka, wanataka kumfyeka
Kina Malasusa siwaamini kabisa ni wapigaji wakubwa.
 
Hilo Kanisa ni mradi wa Dk. Show, ni kama duka lake au saccoss yake. Akilenga fedha ukamzuia, anaweza kufanya chochote dhidi yako
Halafu unaona humu watu hawana akili isipokuwa wewe tu? Kwamba hatujaelewa unaelekea wapi?
 
Back
Top Bottom