Mtaje ni nani aliyeamuruMwenye hasira ni yule aliyeamuru Lissu amiminiwe risasi zaidi ya 16 kwa kuwa tu anapingana na hoja zake.
Mimi binafsi nakataa kuwa "Tanzania kuwekwa kwenye orodha ya uchumi wa kati ni matumizi mabaya ya akili "
Mjinga pekee ndio anaweza kukubali huo ujinga
Tundu Lissu anaweza akawa na Hoja, ila 'Kisaikolojia' anaonekana 99.9% ya atakayokuwa akiongea katika 'Kampeni' ni Shambulizi lake si Masuala.
Tangu lini mjinga akawa mkuu? Acha basi hizoK
Wa hiyo wewe ni mjinga mkuu
Umemaliza, ana hasira mbaya sana itakayomgharimu zaidi ya kile alichopata vilevile ana umimi so hafai kuwa kiongozi.
ana umimi na hasira kuliko MAGUFULI???tumpe Nafasi nayeye akizingua tutamtoaga!
Siipendi CCM
#niyeye
Pia mwenye umimi ni yule anaewajibu walipa kodi wake kuwa waende kuomba maendekeo kwa mbuge wao kisa tu si wa chama chake.Mwenye umimi mbaya kabisa ni yule anayeweza kuamua kumwua binadamu mwingine kwa sababu tu kampinga. Aheri mwenye umimi wa maneno maana atajibiwa kuliko mwenye umimi wa kuamua kuwaondoa wote wasiotaka kuukubali umimi wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Walimsema vibaya Lowasa 2015. Walimtabiria hata kifo Aliporudi nyumbani mambo yakawa sawa. Siasa, mchezo wa ajabu sana.Hanna hoja za kujibu zaidi ya propaganda na hiki ndio kitawaangusha.
hata baba yako huwezi kumwelewa kwann alikuwa maskini kulinganisha majirani Ila ukiitwa baba alafu mtoto amefika miaka ya kwnd shule af majirani zako wanapeleka English medium ww unapeleka serekalini huku viongozi wanaosifia kiswahili wakawa wamepeka watoto wao feza au tanganyika international school utakuwa umeelewaHata sijakuelewa
Magufuli for another 5 years anatosha.
Huyo Gadaffi historia yake hawaifahamu hawawezi kumlinganisha na Magufuli wanayemfahamuAmefanya mengi kupita Gadaffi?
Eti kuna watu bado wanajipa moyo Lissu atashinda labda akitaka kushinda mi nimshauri asubiri 2025 ajaribu bahati yake.....
Kwasababu kwa mambo aliyoyafanya Magufuli ni ngumu kweli kumshawishi mtu ampigie kura Lissu
#Iam Zagarino
Mnajificha kwenye kivuli cha "Amefanya mengi" ila tutawanyoosha maana hamjajua bado mlipoEti kuna watu bado wanajipa moyo Lissu atashinda labda akitaka kushinda mi nimshauri asubiri 2025 ajaribu bahati yake.....
Kwasababu kwa mambo aliyoyafanya Magufuli ni ngumu kweli kumshawishi mtu ampigie kura Lissu
#Iam Zagarino