Baada ya kumtega mhadhiri wa UDOM kwa rushwa ya ngono, sasa tuwatega madaktari hospitalini kwa dhambi hiyo hiyo

Nashangaa moderaters kuuacha huu uzi.
Upotoshaji wa aina hii haukubaliki
 
Empty Set...!!
Hainitishi kupanic kwako ukweli lazima usemwe muovu huliwa na muovu mwenzake.
Mtoa mimba hana haki ya kipekee ya kulindwa wala kutetewa. Kinga ni bora kuliko tiba, watu waache uasherati na uzinzi, wabaki njia kuu waishi viapo vya ndoa.

Washenzi wanaobaki wale sana p2, vitanzi, sindano, au wafunge uzazi wazalie kwa Lulenge pumbavu zao.

Baadhi ya madaktari wanalazimishwa na kushawishiwa kufanya ngono katika muktadha wa kutoa mimba hasa za hawa malaya walio kwenye ndoa.

NB: Utoaji mimba wa watoto wa sekondari na msingi ndio usipime kuna siku malaika watashuka na vuvuzela.
 
Walipokuwa wanapewa digrii za kuhongwa maarufu kama digrii za Chupi ulilalamika kwamba tunaletewa wasomi feki? Huyu wa UDOM kasikwa sababu ya Sup alizokuwa anatoa akikataliwa, lakini mpaka anakamatwa ameshawagawia digrii wanawake na wasichana wa kutosha waliokubali kupanua miguu bila shida. Nenda maofisini ushuhudie digrii zilivyo sawa na Form 6.
 
Kwa JF Great Thinker hili ni la Kulishadadia na kuliunga mkono? Kuna Watu hapa ni Wapumbavu wa Kiwango cha Kimataifa.
Mpumbavu wewe unaye sympathise kwa kusema vyuoni waalimu wanaonewa. Case ya vyuo ni tofauti na ya mahospitali.
 
Mku
Mkuu si ukasome udaktari tu, maana sio kwa wivu huo!
 
Mtego mtu mpaka anakojoa bao 3?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…