Acha ushamba, kwa taarifa yako maeneo mengi taarifa mbalimbali ziwe za maendeleo au nyingine zozote hutolewa kwenye mikusanyiko ya watu, sasa hapo alisimama balozi tena ni wa CCM angesimama afisa mtendaji si ungefunga kibwebwe uzunguke dunia nzima kusema CCM inatumia viongozi wa Serikali kufanya siasa.
Acha ushamba.
[/QUOTE Muwe mnampa japo ushauri aachane na wasanii na kukusanya wananzengo kwenye magari ya mizigo ajaribu kuja kiume tuone Ni jinsi gani atapokelewa😆😆
Upo Mbeya sehemu gan? Na ni kanisa gani hilo?Hizi habari zimetangazwa leo hadi makanisani huku Mbeya. Hii nchi inakoelekea sio kabisa.
Upo Mbeya sehemu gan? Na ni kanisa gani hilo?
Hawa jamaa wanaumia nguvu nyingi sana.Nikashangaa msibani ghafla zinaingia V8 Mbili kucheki vizuri TULIA MWANSASU ikabidi nishangae Tena kaja kufuata Nini pale msibani[emoji16][emoji16]