Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Kweli uchaguzi wa CCM una mambo
Baada ya wana kinondoni kutema upupu wa meya wao na huku sehemu aliokimbilia
kugombea ubunge akimwagwa kama ana akili nzuri;aliekuwa meya wa jiji letu S LONDA ametoa ya mwaka leo pale alipopigiwa na waandishi wa hbari kwa namba tatu tofauti na kujdai yeye ni shabani juma huyo londa mnatakia nini..huku watu wakisikika wakicheka meya huyu alidiriki kusema mnaempigia ni shabani juma..hii namba mmepata wapi..badala ya kukata akaanza kuendelea na maswali manatokea wapi mnataka nini kabla ya mwandishi kupiga tena kinondoni kupata uhalali wa namba na kupewa namba ile ile hapo ndipo kichekesho kikaendele..akapigiwa na namba nyingine tena maskini tripu hii alikuwa mpole na kusema nyie vijana mnashida gani vyeo vyenu si nimewaachia mnanitakia nini
mmoja wa waliopiga akamuuliza mzee kuna zile kesi za viwanja inakuwaje akakata simu
kweli waswahili waanasema kuwa muyaone na kweli 2010 tumeyaona nahisi yapo mengi yanakuja
haya kila la kheri mkuu londa ukamalizane na kesi zako;;umeshindwa huku mungu atokutupa mahakamani
SRCE
TAIFA LETU KESHO
Baada ya wana kinondoni kutema upupu wa meya wao na huku sehemu aliokimbilia
kugombea ubunge akimwagwa kama ana akili nzuri;aliekuwa meya wa jiji letu S LONDA ametoa ya mwaka leo pale alipopigiwa na waandishi wa hbari kwa namba tatu tofauti na kujdai yeye ni shabani juma huyo londa mnatakia nini..huku watu wakisikika wakicheka meya huyu alidiriki kusema mnaempigia ni shabani juma..hii namba mmepata wapi..badala ya kukata akaanza kuendelea na maswali manatokea wapi mnataka nini kabla ya mwandishi kupiga tena kinondoni kupata uhalali wa namba na kupewa namba ile ile hapo ndipo kichekesho kikaendele..akapigiwa na namba nyingine tena maskini tripu hii alikuwa mpole na kusema nyie vijana mnashida gani vyeo vyenu si nimewaachia mnanitakia nini
mmoja wa waliopiga akamuuliza mzee kuna zile kesi za viwanja inakuwaje akakata simu
kweli waswahili waanasema kuwa muyaone na kweli 2010 tumeyaona nahisi yapo mengi yanakuja
haya kila la kheri mkuu londa ukamalizane na kesi zako;;umeshindwa huku mungu atokutupa mahakamani
SRCE
TAIFA LETU KESHO