Baada ya kuona hamna nafuu, Manji aamsha popo

Bora aende kuepuka misukosuko isiyo ya lazima. Hi nchi Bado haijatulia kivile!
Mzimu wa jamaa bado umeshika hatamu.Naona kamatakamata ya wapinzani imeanza,soon wasiojulikana watatoka likizo ngoja turejee toka Rwanda kwanza
 
Kwa mambo aliyoyafanya huyu jamaa na wanayoendelea kuyafanya wenzie wanaojiita wahindi au waarabu wenye asili ya Tanzania ni bora waende tu..

Ule uamuzi wa Iddi Amin kufukuza wahindi Uganda ulikuwa sahihi sana, kuendelea kuishi na jamii yenye ubinafsi na kandamizi kwa wengine ni bora kuwa masikini na kutafuta namna nyingine ya kujinasua kuliko kuendelea kuishi na hizi jamaa...
 
Awamu ya nne Watanzania tulio wengi tulilalamikia sana wizi na ufisadi wa akina Manji, Rostam nk na kelele zikapigwa sana dhidi ya hawa waasia, washiraz na waarabu wengine..lakini maajabu leo eti tunawatetea tena..
 

Taratibu...wakimbie sababu gani? DRC Congo ingesuswa kabisa.
Vita vya panzi furaha ya kunguru
 
Sasa wewe ulitaka ghaidi Mbowe aendeleze ugaidi bila kutiwa nguvuni? Kila lenye mwanzo Lina mwisho,ugaidi nchini upo na Mbowe Ni kweli kuwa Ni gaidi
 
Taratibu...wakimbie sababu gani? DRC Congo ingesuswa kabisa.
Vita vya panzi furaha ya kunguru
DRC ni tofauti na huku... Wanaoharibu usalama DRC ndio haohao wanaochota rasilimali za nchi ile wakishirikiana na baadhi ya watu serikalini
 
Uonevu unazidi kushika kasi.
 
Yaani binafsi ningekuwa na mamlaka ningefukuza Indians na Arabs wote tukaanza upya....hawa ni watu wanaoitafuna hii nchi kimya kimya sana na kutengeneza utajiri mkubwa then wanauhamishia ughaibuni, India, Oman, na Dubai..
 
Kwa yanayoendelea ni ngumu Sana kutoka mzimu wa mwendazake ndio umeshikilia darubuni ushahidi ni kwa yanayotendeka.

Yule Bwana nadhani amerudi kwa staili ya kimzimu hivi kwa jinsi mambo yanavyoenda.

Wanasema mwili ndo ufa roho uendelea kuishi.
Wenzako tunatamani hiyo mizimu ya mwendazake irudi hata 100000
Ile ilikuwa machine ya kazi na maendeleo
 
Shindwa pepo la Mekoooooo Tokaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, liendelee kumtafuna huko kuzimu shindwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa meko , Raksghabarabarashararraraaararararaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa , shindwa MeKO
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nilitoa alert mapema kuwa it's too early kukubali sarakasi na maneno matamu ya huyu mama miezi miwili ya mwanzo! I was definitely right CCM ni ile ile ukubwa wa matatizo waliyoyaleta ni wao kutoka tu ndio tunaweza kufumbua macho na kuanza upya
 
Wenzako tunatamani hiyo mizimu ya mwendazake irudi hata 100000
Ile ilikuwa machine ya kazi na maendeleo
Aaah Kwa uchumi upi au makusanyo yepi hali Wawekezaji na matajiri walihamishia kodi zao nchi jirani,hadi leo tumecollaps wameishia kuwapora wananchi masikini kupitia dabo tozo za dhuluma,means ziwa limekauka.
 
Kukamatwa kwa Mbowe na kamatakamata ya wapinzani lazima imshtue kila investor, maana wanajua, uvunjaji haki ukianza huwa hauishi kirahisi
 
Aaah Kwa uchumi upi au makusanyo yepi hali Wawekezaji na matajiri walihamishia kodi zao nchi jirani,hadi leo tumecollaps wameishia kuwapora wananchi masikini kupitia dabo tozo za dhuluma,means ziwa limekauka.
Wezi ndiyo waliokimbia na kuamisha biashara wewe ukumsikia mama alipo sema wawekezaji wanataka kuondoka baada ya kifo cha magufuli hii ina maana magufuli alivutia wawekezaji wa kweli sio matapeli singasinga
 
Manji sasa anaishi kama digidigi kweli maisha haya we acha tu,eti muhindi akakimbizwa mchakamchaka na msukuuma tena mchato
 
Manji sasa anaishi kama digidigi kweli maisha haya we acha tu,eti muhindi akakimbizwa mchakamchaka na msukuuma tena mchato
Aliyepewa kapewa popote unaishi, ujanja ni kuishi milele
 
Msitu mpya nyani wale wale
 
Wezi ndiyo waliokimbia na kuamisha biashara wewe ukumsikia mama alipo sema wawekezaji wanataka kuondoka baada ya kifo cha magufuli hii ina maana magufuli alivutia wawekezaji wa kweli sio matapeli singasinga
Alisema lini acha uongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…