Baada ya kuona hamna nafuu, Manji aamsha popo

Shindwa pepo la Mekoooooo Tokaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, liendelee kumtafuna huko kuzimu shindwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa meko , Raksghabarabarashararraraaararararaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa , shindwa MeKO
Angalia huyu kichaa unapenda maponjoro...
watakuwa wanakudunkula tu ww.....
sio bure kwa kuonyesha hii love yako
 
Alisema lini acha uongo
Tafuta kwenye mitandao hotuba zake nahisi labda ni kwenye ile hotuba aliyo sema yeye na magufuli ni kitu kimoja ila alisema wawekezaji wanataka kuondoka kwa sababu magufuli kafariki
 
Aaah Kwa uchumi upi au makusanyo yepi hali Wawekezaji na matajiri walihamishia kodi zao nchi jirani,hadi leo tumecollaps wameishia kuwapora wananchi masikini kupitia dabo tozo za dhuluma,means ziwa limekauka.
Tatizo wewe ni mpumbaavu kwani tanzania ilipo tangazwa na dunia kuingia kwenye uchumi wa kati wewe ulijua kwa uchumi upi
 

Acha ubaguzi mkuu, Choyo na CHuki sio kitu kizuri, utaishia kuwa mwanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…