secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,637
Angalia huyu kichaa unapenda maponjoro...Shindwa pepo la Mekoooooo Tokaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, liendelee kumtafuna huko kuzimu shindwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa meko , Raksghabarabarashararraraaararararaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa , shindwa MeKO
Tafuta kwenye mitandao hotuba zake nahisi labda ni kwenye ile hotuba aliyo sema yeye na magufuli ni kitu kimoja ila alisema wawekezaji wanataka kuondoka kwa sababu magufuli kafarikiAlisema lini acha uongo
Tatizo wewe ni mpumbaavu kwani tanzania ilipo tangazwa na dunia kuingia kwenye uchumi wa kati wewe ulijua kwa uchumi upiAaah Kwa uchumi upi au makusanyo yepi hali Wawekezaji na matajiri walihamishia kodi zao nchi jirani,hadi leo tumecollaps wameishia kuwapora wananchi masikini kupitia dabo tozo za dhuluma,means ziwa limekauka.
Nyie gombaneni muone nini kitaendeleaDRC ni tofauti na huku... Wanaoharibu usalama DRC ndio haohao wanaochota rasilimali za nchi ile wakishirikiana na baadhi ya watu serikalini
Kwa mambo aliyoyafanya huyu jamaa na wanayoendelea kuyafanya wenzie wanaojiita wahindi au waarabu wenye asili ya Tanzania ni bora waende tu..
Ule uamuzi wa Iddi Amin kufukuza wahindi Uganda ulikuwa sahihi sana, kuendelea kuishi na jamii yenye ubinafsi na kandamizi kwa wengine ni bora kuwa masikini na kutafuta namna nyingine ya kujinasua kuliko kuendelea kuishi na hizi jamaa...