MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Azizi K ilipaswa tukununue kwa 1B.
Azizi K wewe siyo kiungo kwenye chakula. Bali wewe ndiyo chakula chenyewe. Na ili mtu aishi lazima ale chakula...
*Kule kuna BAN????
Hahaha..wa Nduguti au Iguguno?Dawa yenu utopolo ni kuwapigia danadana tu kama wale dada zenu kutoka Mkalama.
Punguza kula kandeAziz K ni kama Chumvi tu mbele ya Chakula cha Chips kilichopo mbele yako ila Clatous Chama ni Tomato Sauce mbele ya Chips.
Chumvi ( Aziz K ) huwa si lazima sana Kutumika na Mlaji tena hasa akiwa anakula Chips kwakuwa hata Kisayansi Viazi vina Chumvi fulani ila hakuna anayekula Chips ambaye hatotaka au hatopenda kuwekewa Tomato Sauce ( Clatous Chama ) ili akifurahie hicho Chakula.
Nawatakieni kila la Kheri wale ambao mtakuwa mmenielewa vyema katika Mfano huu wa Chumvi ( Aziz K ) na Tomato Sauce ( Chama ) katika Chakula cha Chips ambacho kinaliwa na 75% ya Watanzania.
Hukohuko mkuu, bila kusahau Isuna😆Hahaha..wa Nduguti au Iguguno?
Popo maa wajionaje hali! Unaonekana unapenda sana chipsi weye.Aziz K ni kama Chumvi tu mbele ya Chakula cha Chips kilichopo mbele yako ila Clatous Chama ni Tomato Sauce mbele ya Chips.
Chumvi ( Aziz K ) huwa si lazima sana Kutumika na Mlaji tena hasa akiwa anakula Chips kwakuwa hata Kisayansi Viazi vina Chumvi fulani ila hakuna anayekula Chips ambaye hatotaka au hatopenda kuwekewa Tomato Sauce ( Clatous Chama ) ili akifurahie hicho Chakula.
Nawatakieni kila la Kheri wale ambao mtakuwa mmenielewa vyema katika Mfano huu wa Chumvi ( Aziz K ) na Tomato Sauce ( Chama ) katika Chakula cha Chips ambacho kinaliwa na 75% ya Watanzania.
Tutake radhi kijana, 75? Chips?????Aziz K ni kama Chumvi tu mbele ya Chakula cha Chips kilichopo mbele yako ila Clatous Chama ni Tomato Sauce mbele ya Chips.
Chumvi ( Aziz K ) huwa si lazima sana Kutumika na Mlaji tena hasa akiwa anakula Chips kwakuwa hata Kisayansi Viazi vina Chumvi fulani ila hakuna anayekula Chips ambaye hatotaka au hatopenda kuwekewa Tomato Sauce ( Clatous Chama ) ili akifurahie hicho Chakula.
Nawatakieni kila la Kheri wale ambao mtakuwa mmenielewa vyema katika Mfano huu wa Chumvi ( Aziz K ) na Tomato Sauce ( Chama ) katika Chakula cha Chips ambacho kinaliwa na 75% ya Watanzania.
Kwa mtu mwenye akili ya kutosha atakuwa kakuelewa kwamba hakuna chakula kitalika bila chumvi.Umetumia satire kuwazuga makolo wenzako,hongera sana.Aziz K ni kama Chumvi tu mbele ya Chakula cha Chips kilichopo mbele yako ila Clatous Chama ni Tomato Sauce mbele ya Chips.
Chumvi ( Aziz K ) huwa si lazima sana Kutumika na Mlaji tena hasa akiwa anakula Chips kwakuwa hata Kisayansi Viazi vina Chumvi fulani ila hakuna anayekula Chips ambaye hatotaka au hatopenda kuwekewa Tomato Sauce ( Clatous Chama ) ili akifurahie hicho Chakula.
Nawatakieni kila la Kheri wale ambao mtakuwa mmenielewa vyema katika Mfano huu wa Chumvi ( Aziz K ) na Tomato Sauce ( Chama ) katika Chakula cha Chips ambacho kinaliwa na 75% ya Watanzania.
uko peke yako unahangaika ivi
Kutoka kinyetoHahaha..wa Nduguti au Iguguno?
Jamaa spidi ya konokono ndiyo maana alishindwa MorrocoGentamycin usimfananishe Azizi K na yule kinyonga wenu Chama, Chama anakuwa bora kwa mechi dhaifu mechi yenye kutumia nguvu na yenye speed huyo chama wako hana ubavu nazo ndiyo maana makocha wa kigeni wenye kupenda timu itembee chama huwa wanamweka benchi matokeo yake mashabiki wanamchukia kocha.