Baada ya kuona ufanisi wa silaha mpya ya Russia Oreshnik, naomba tujadiliane kuhusu US Military Carriers

Baada ya kuona ufanisi wa silaha mpya ya Russia Oreshnik, naomba tujadiliane kuhusu US Military Carriers

maharage ya ukweni

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2016
Posts
1,415
Reaction score
3,213
Habari za jioni Great thinkers!

Kwanza kabisa napenda kusema kwamba mimi si mtaalamu sana wa maswala ya silaha,sio mwandishi mzuri makala.

Baada ya jana au juzi hivi Russia kufanya mashambulizi ya kule Ukraine na kuona jinsi ambavyo silaha mpya ya Russia inavyo hit target kuna mambo mengi nilitafakari sana. Lakini kutokana na watu wengi humu jukwaani kupenda kujadili mambo kishabiki nikaamue nitulie Kwanza. Maswali yafuatayo nilijiuliza na ningependa kupata majibu humu maana ni jukwaa la Great thinkers.

1. Kati ya USA na Russia 🇷🇺 nani alikuwa mbele ya muda.

2. Je kuna uwezekano wowote ule USA kuzitumia Carriers zake endapo ataingia vitani na Russia ili zimsaidie kushinda.

Mimi binafsi naona Marekani Carriers zake ingezibadirishia tu matumizi kwasababu ukiangalia lengo ya hizo Carriers haziwezi kumsaidia katika vita ya sasa labda ipigane na nchi dhaifu lakini sio kwa RUSSIA, CHINA, NORTH KOREA pia hata IRAN nina uhakika asilimia 100 ana uwezo wa kuzizamisha mapema tu.

Soma Pia: Oreshnik: Silaha mpya tishio iliyotumiwa na Urusi. Hakuna mfumo unaweza kuzuia duniani, isipokuwa S550 wa Urusi wenyewe

Mwisho nawashauri USA 🇺🇸 wasione aibu wazitumie tu kwa ajili ya uvuvi wa samaki kwani zitawanufaisha sana kuliko kusubiri wazitumie kwenye vita wataambulia kupata hasara tu
 
Habari za jioni Great thinkers!

Kwanza kabisa napenda kusema kwamba mimi si mtaalamu sana wa maswala ya silaha,sio mwandishi mzuri makala.

Baada ya jana au juzi hivi Russia kufanya mashambulizi ya kule Ukraine na kuona jinsi ambavyo silaha mpya ya Russia inavyo hit target kuna mambo mengi nilitafakari sana. Lakini kutokana na watu wengi humu jukwaani kupenda kujadili mambo kishabiki nikaamue nitulie Kwanza. Maswali yafuatayo nilijiuliza na ningependa kupata majibu humu maana ni jukwaa la Great thinkers.

1. Kati ya USA na Russia [emoji635] nani alikuwa mbele ya muda.
2. Je kuna uwezekano wowote ule USA kuzitumia Carriers zake endapo ataingia vitani na Russia ili zimsaidie kushinda.

Mimi binafsi naona marekani Carriers zake ingezibadirishia tu matumizi kwasababu ukiangalia lengo ya hizo Carriers haziwezi kumsaidia katika vita ya sasa labda ipigane na nchi dhaifu lakini sio kwa RUSSIA, CHINA, NORTH KOREA pia hata IRAN nina uhakika asilimia 100 ana uwezo wa kuzizamisha mapema tu.

Mwisho nawashauri USA [emoji631] wasione aibu wazitumie tu kwa ajili ya uvuvi wa samaki kwani zitawanufaisha sana kuliko kusubiri wazitumie kwenye vita wataambulia kupata hasara tu
Naona kama unatangaza vita na mashoga wa Tandale, ila kiukweli zile cariers za US BR ziko outdsted militatily kwasbb mtu ana ICBM inasafiri 6000km inabeba explosives 50 tons inakibia mara sita kulika kasi ya sauti, utaizuia je kulenga hiyo catrier yako popote utakapo iweka......... ndo maana US ni muoga wa kuingia vita.
 
Naona kama unatangaza vita na mashoga wa Tandale, ila kiukweli zile cariers za US BR ziko outdsted militatily kwasbb mtu ana ICBM inasafiri 6000km inabeba explosives 50 tons inakibia mara sita kilika kasi ya sauti, utaizuia je kulenga hiyo catrier yako popote utakapo iweka......
Hapo ndio naposhangaa na katika hili inaonyesha Russia 🇷🇺 ni taifa la kijeshi na watu wake wote wanafikiria kijeshi jeshi tu
 
Habari za jioni Great thinkers!

Kwanza kabisa napenda kusema kwamba mimi si mtaalamu sana wa maswala ya silaha,sio mwandishi mzuri makala.

Baada ya jana au juzi hivi Russia kufanya mashambulizi ya kule Ukraine na kuona jinsi ambavyo silaha mpya ya Russia inavyo hit target kuna mambo mengi nilitafakari sana. Lakini kutokana na watu wengi humu jukwaani kupenda kujadili mambo kishabiki nikaamue nitulie Kwanza. Maswali yafuatayo nilijiuliza na ningependa kupata majibu humu maana ni jukwaa la Great thinkers.

1. Kati ya USA na Russia 🇷🇺 nani alikuwa mbele ya muda.

2. Je kuna uwezekano wowote ule USA kuzitumia Carriers zake endapo ataingia vitani na Russia ili zimsaidie kushinda.

Mimi binafsi naona Marekani Carriers zake ingezibadirishia tu matumizi kwasababu ukiangalia lengo ya hizo Carriers haziwezi kumsaidia katika vita ya sasa labda ipigane na nchi dhaifu lakini sio kwa RUSSIA, CHINA, NORTH KOREA pia hata IRAN nina uhakika asilimia 100 ana uwezo wa kuzizamisha mapema tu.

Soma Pia: Oreshnik: Silaha mpya tishio iliyotumiwa na Urusi. Hakuna mfumo unaweza kuzuia duniani, isipokuwa S550 wa Urusi wenyewe

Mwisho nawashauri USA 🇺🇸 wasione aibu wazitumie tu kwa ajili ya uvuvi wa samaki kwani zitawanufaisha sana kuliko kusubiri wazitumie kwenye vita wataambulia kupata hasara tu
Kabla ya kujadili una elimu mkuu ya mambo ya vita? Uko nchi gani Tanzania au Marekani? Uliwahi kwenda operesheni yoyote ya kijeshi?
 
Tushasema sana humu ndani, hayo machumachuma ya Mmarekani yanaweza kuwatisha walalahoi tu!
Sasa hivi nadhani kila mtu atakuwa amepata majibu kwanini Russia 🇷🇺 hawakuipa kipaumbele haya machuma chuma,hata kule Mashariki ya kati Russia akiamua yazqmishwe ni mapema tu kabla jogoo hajawika yanakuwa makazi ya samaki😁😁😁😁😁😁😁
 
Kabla ya kujadili una elimu mkuu ya mambo ya vita? Uko nchi gani Tanzania au Marekani? Uliwahi kwenda operesheni yoyote ya kijeshi?
Mimi sina elimu ya mambo ya vita lakini kwakutumia akili zangu hizi hizi za kuzaliwa naona kabisa hazitakuwa na msaada wowote endapo USA atapigana na Russia 🇷🇺
 

Attachments

  • 20241122_122505.jpg
    20241122_122505.jpg
    76.8 KB · Views: 3
Naona kama unatangaza vita na mashoga wa Tandale, ila kiukweli zile cariers za US BR ziko outdsted militatily kwasbb mtu ana ICBM inasafiri 6000km inabeba explosives 50 tons inakibia mara sita kulika kasi ya sauti, utaizuia je kulenga hiyo catrier yako popote utakapo iweka......... ndo maana US ni muoga wa kuingia vita.
Mimi naona katika kitu ambacho usa hakushauriwa vizuri ni kuwekeza kwenye macarrier nadhani alishani dunia itabaki hivyo hovyo kama burudini ..carrier hata Huth wanapambana nazo zinarudi kwwo kww matemgenezo
 
Back
Top Bottom