Baada ya kura za maoni, 95%hawataitaji katiba mpya

Hakuna swali au mjadala kuhusu kama mnataka ama hamtaki katiba mpya Swali lililopo ni jinsi ya kupeleka maoni yako Kuhusiana na katiba mpya nini kiongezwe /kifutwe au yaliyopo yafutwe yote yaandikwe mapya SAWA dogo;?
 
Msiwasemee watz bwana ngoja mchakato uanze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…