Ujifunze kuona na kuishi kwenye ukweli na sio kuishi kwa ndoto za mchana (Alinacha)
Mzee Mwanakijiji anaishi dunia ya Kibunango.
Mzee Mwanakijiji anaishi dunia ya Kibunango.
Natumai ungekuwa Mod, thread hii ungeifuta kwa kuwa tu haina uchadema ndani yake!
anataka kuliwa t*go huyo si bure....Punguani nyie leteni issue za maana za kujadili sio huu upuuzi wenu, then ukishajua wapi anapoishi mzee mwanakijiji what next???!!! wezi wakubwa wa kura nyie!!!
ilikuwa ya Salmakwani CCJ haikuwa yake?
Thread nzuri ila inafaa kulee celebrity forumAlishabikia CCJ kabla ya kuelekeza nguvu zake Chadema... mbaya zaidi kashindwa kote huko!
ilikuwa ya Salma
Alishabikia CCJ kabla ya kuelekeza nguvu zake Chadema... mbaya zaidi kashindwa kote huko!
kwani CCJ haikuwa yake?
Tufanyagaje sasa?
:smile-big: Wamwache apumzike mzee wa watu! Ni kama mechi za mpira kuna watu waliwahi kuhamia Bolton baada ya timu ya kufululiziwa vipigo! Hivyo basi nae alipata mbadala wa kisichokuwapo. BTW: SIASA ZA TANZANIA WATU WANAFUATA MASLAHI:smile-big:Mimi naona kuwa hii ndio Demokrasia...unatafuta mabadiliko mahala, in case hapatoshelezi unasonga mbele unakoona kunaeleweka!
Tatizo liko wapi?...Juu ya kushindwa CHADEMA, kama utaacha mambo mengine yote kuwa constant, kushindwa ni sehemu ya mchezo, maana angeshinda CHADEMA, nyie mngepoteza!
Tuwe wapole tu!
wewe malaya mchafu usinifuatilie kabisa, tena ukiona post zangu toka nduki, unanuka na utaishia kuuza tu kojoleo kwa mafala kama wewe mimi sina mpango kabisa na wanuka mikojo, nyambafff bahati yako mbaya mimi na wewe tunaweza kuhamishia huu ugomvi nje ya hapa nadhani unajua nachomaanisha..malaya mchafu
Sasa wewe unaanzisha ugomvi hapa alafu una suggest muhamishe.
Kuwa na staha kidogo Mwana CCM unatakiwa kuwa kama JK usiwe mtu wa visasi.
Hajavunja Sheria wala hajashindwa kuifuata Katiba, Katiba inampa uhuru wa kutetea na kusimamia kile anchokiamini , Mradi asivunje sheria, Kwa kuwa yeye ni Mwanamapinduzi wa kweli, yuko huru kutoa mawazo yake, kama wewe.