Baada ya Kusikia Mgeni Rasmi kwa Washindi wa Majukwaa JamiiForums ni Rais wa Marekani Joe Biden naomba mniazime Suti nivae

Baada ya Kusikia Mgeni Rasmi kwa Washindi wa Majukwaa JamiiForums ni Rais wa Marekani Joe Biden naomba mniazime Suti nivae

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
vibertz, Tate Mkuu, Isanga family na OKW BOBAN SUNZU nasikia mna Suti Kali sana naomba Mmoja wenu aniazime ili nivae Siku ya Kupokea Tuzo yangu ya Ushindi Jukwaa la Michezo ( Sports ) hapa JamiiForums.

Tafadhali nawaombeni mnisaidie kwani Nitaumbuka kwa kutokuvalia Suti Kali mbele ya Rais wa Dunia na Marekani Joe Biden na Kuvalia tu hii Minyalonyalo yangu ya Kutukuka.

Atakayenipa ( Atakayeniazima ) Suti yake Kali kwa hawa niliowataja hapa nitampa USD 300 kati ya USD 5000 ambazo Rais wa Marekani Joe Biden ameahidi kutoa kwa Washindi wa Majukwaa ya JamiiForums kwa mwaka huu wa 2022.

Sijui itakuwaje Siku hiyo GENTAMYCINE nikiwa napiga Picha na Rais wa Marekani Joe Biden huku Walinzi wake wakiwa Wametuzunguka.

Kushinda ni Raha sana na hasa Ukishinda katika Mtandao mkubwa na wenye Great Thinkers wote wa JamiiForums.

Mwaka ujao 2023 nawaombeni pia na nyie akina vibertz, Tate Mkuu, Isanga family na OKW BOBAN SUNZU nanyi Mgombee au Mjumuishwe katika Shindano kwani nawaona kabisa kuwa mtaenda Kushinda na hata nami pia nikiwepo bado nawaona mtashinda na Kunishinda GENTAMYCINE.

Kazi ipo......!!!!!!
 
vibertz, Tate Mkuu, Isanga family na OKW BOBAN SUNZU nasikia mna Suti Kali sana naomba Mmoja wenu aniazime ili nivae Siku ya Kupokea Tuzo yangu ya Ushindi Jukwaa la Michezo ( Sports ) hapa JamiiForums.

Tafadhali nawaombeni mnisaidie kwani Nitaumbuka kwa kutokuvalia Suti Kali mbele ya Rais wa Dunia na Marekani Joe Biden na Kuvalia tu hii Minyalonyalo yangu ya Kutukuka.

Atakayenipa ( Atakayeniazima ) Suti yake Kali kwa hawa niliowataja hapa nitampa USD 300 kati ya USD 5000 ambazo Rais wa Marekani Joe Biden ameahidi kutoa kwa Washindi wa Majukwaa ya JamiiForums kwa mwaka huu wa 2022.

Sijui itakuwaje Siku hiyo GENTAMYCINE nikiwa napiga Picha na Rais wa Marekani Joe Biden huku Walinzi wake wakiwa Wametuzunguka.

Kushinda ni Raha sana na hasa Ukishinda katika Mtandao mkubwa na wenye Great Thinkers wote wa JamiiForums.

Mwaka ujao 2023 nawaombeni pia na nyie akina vibertz, Tate Mkuu, Isanga family na OKW BOBAN SUNZU nanyi Mgombee au Mjumuishwe katika Shindano kwani nawaona kabisa kuwa mtaenda Kushinda na hata nami pia nikiwepo bado nawaona mtashinda na Kunishinda GENTAMYCINE.

Kazi ipo......!!!!!!
Popoma Jobless inakusumbua
 
Tumobilise tuanzishe JF Veteran Team. Nilikua na wazo hilo na nadhani hata ww umewahi kuanzisha uzi ila haukupata uchangiaji. Sijui watu wanaogopa nn
 
Tumobilise tuanzishe JF Veteran Team. Nilikua na wazo hilo na nadhani hata ww umewahi kuanzisha uzi ila haukupata uchangiaji. Sijui watu wanaogopa nn
Acha Bange Wewe unataka Watu wa SSIT ( Kitengo ) waje Kutujua / Kutufahamu Kiuhalisia akina GENTAMYCINE kisha watanye yao? Huko hamnipati Ng'o Kiongozi wangu.
 
Back
Top Bottom