Baada ya kusikiliza press conference ya Mwanza, sasa najua hakuna aneyeweza kukunali mdahalo

Baada ya kusikiliza press conference ya Mwanza, sasa najua hakuna aneyeweza kukunali mdahalo

Gulwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2008
Posts
10,597
Reaction score
16,394
Nimesikiliza clip ya Lissu akijibu maswali ya wanahabari kwenye mkutano wao jana jijini Mwanza. Kwa jinsi alivyoweza kujibu kwa hoja nzito maswali yote aliyoulizwa na waandishi, nimemuona Lissu kama Nerere mwingine katika uwezo wa kujenga, kujibu na kutetea hoja. Sidhani kama katika miaka ya karibuni tumewahi kuwa na mwanasiasa genius kama huyu. Ndio maana hakuna mgombea yeyote anayeweza kuthubutu kukubali mdahalo na Lissu kwani anajua kitakachompata mbele ya camera
 
Nimesikiliza clip ya Lissu akijibu maswali ya wanahabari kwenye mkutano wao jana jijini Mwanza. Kwa jinsi alivyoweza kujibu kwa hoja nzito maswali yote aliyoulizwa na waandishi, nimemuona Lissu kama Nerere mwingine katika uwezo wa kujenga, kujibu na kutetea hoja. Sidhani kama katika miaka ya karibuni tumewahi kuwa na mwanasiasa genius kama huyu. Ndio maana hakuna mgombea yeyote anayeweza kuthubutu kukubali mdahalo na Lissu kwani anajua kitakachompata mbele ya camera
Walilete like limsukule lenye PhD isiyo na thesis uone watakavyokimbizana njano na kijani
 
acheni kuota ndoto za mchana!!
fanyeni kazi..kwa ajili ya familia yako
 
Nimesikiliza clip ya Lissu akijibu maswali ya wanahabari kwenye mkutano wao jana jijini Mwanza. Kwa jinsi alivyoweza kujibu kwa hoja nzito maswali yote aliyoulizwa na waandishi, nimemuona Lissu kama Nerere mwingine katika uwezo wa kujenga, kujibu na kutetea hoja. Sidhani kama katika miaka ya karibuni tumewahi kuwa na mwanasiasa genius kama huyu. Ndio maana hakuna mgombea yeyote anayeweza kuthubutu kukubali mdahalo na Lissu kwani anajua kitakachompata mbele ya camera
Saa hizi magu amewaita wasimamizi wote wa uchaguzi waje Dodoma anawatisha kuwa lazima ccm ishinde la sivyo...
 
Back
Top Bottom