Baada ya kusoma dalili za siku za mwisho Mathayo 24, nimegundua kuna fursa za kibiashara ndani yake

Baada ya kusoma dalili za siku za mwisho Mathayo 24, nimegundua kuna fursa za kibiashara ndani yake

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Mathayo 24 inatoa dalili za kubomolewa Yerusalem na Kuja kwa Yesu mara ya pili.

Walengwa wa Dalili hizo kwa ukubwa ni waovu, na wacha Mungu kwao ni kama tahadhari wasijisahau.

Dalili hizo zinatoa fursa nyingi za kibiashara. Kwa sababu Yesu alitoa agizo la kufanya biashara hadi atakapokuja, ni ujinga kujifungia ndani au kanisani kwa kuogopa dalili hizo.

1: Kutakua na njaa
Biashara: Anza kilimo, uza vyakula maana siku za mwisho watu wengi hawatakuwa na vyakula.

2: Kutakuwa na Magonjwa
Fungua Hospitali, duka la madawa au sanitalium. Anzisha huduma ya maombezi ya kiroho kwa wagonjwa.

3: Manabii wa uongo na wadanganyaji
Andika vitabu, semina au kama vipi kuwa nabii wa ukweli maana ukweli unanguvu kuliko uongo. Hii utakuwa unafanya biashara yenye faida kiroho.

4: Vita na tetesi za vita
Vita, matishio ya vita, ugaidi na mauaji ya kimbari. Anzisha huduma ya faraja kwa wahanga wa kivita, Tumia tetesi za kivita kufanya maamuzi ya kifedha na kiuwekezaji. Itakusaidia kujua tetesi hizo, na vita hivyo vinaathari kani katika kuoanda na kushuka kwa soko. Kuwa muwekejazi

5: Ongezeko la uhalifu (Mathayo 24:12
Fungua kampuni ya Ulinzi, Duka la vifaa vya kielekroniki vya kujilinda na uharifu. Buni mifumo ya kisasa ya ulinzi majumbani (home security services).

Ni hayo tu wakuu.

Mtumishi Matunduizi
Sabato njema.
 
Mathayo 24 inatoa dalili za kubomolewa Yerusalem na Kuja kwa Yesu mara ya pili.

Walengwa wa Dalili hizo kwa ukubwa ni waovu, na wacha Mungu kwao ni kama tahadhari wasijisahau.

Dalili hizo zinatoa fursa nyingi za kibiashara. Kwa sababu Yesu alitoa agizo la kufanya biashara hadi atakapokuja, ni ujinga kujifungia ndani au kanisani kwa kuogopa dalili hizo.


1: Kutakua na njaa.
Biashara: Anza kilimo, uza vyakula maana siku za mwisho watu wengi hawatakuwa na vyakula.

2: Kutakuwa na Magonjwa.
Fungua Hospitali, duka la madawa au sanitalium. Anzisha huduma ya maombezi ya kiroho kwa wagonjwa.

3: Manabii wa uongo na wadanganyaji
Andika vitabu, semina au kama vipi kuwa nabii wa ukweli maana ukweli unanguvu kuliko uongo. Hii utakuwa unafanya biashara yenye faida kiroho.

.4: VITA NA TETESI ZA VITA.
Vita, matishio ya vita, ugaidi na mauaji ya kimbari.
Anzisha huduma ya faraja kwa wahanga wa kivita, Tumia tetesi za kivita kufanya maamuzi ya kifedha na kiuwekezaji. Itakusaidia kujua tetesi hizo, na vita hivyo vinaathari kani katika kuoanda na kushuka kwa soko. Kuwa muwekejazi


5: ONGEZEKO LA UHALIFU (Mathayo 24:12

Fungua kampuni ya Ulinzi,
Duka la vifaa vya kielekroniki vya kujilinda na uharifu. Buni mifumo ya kisasa ya ulinzi majumbani (home security services).


Ni hayo tu wakuu.

Mtumishi Matunduizi
Sabato njema.
Wewe ni mtu unayetumia akili sawasawa. Sasa wengine wanasoma na kuishia kutishia watu waone maisha yao duniani hayana maana. Kula tano mkuu 🤝🤝🤝🤝
 
Hizo ni bla bla tu za kiimani , hakuna siku ya mwisho zaidi ya ile siku unakufa wewe kama wewe
Neno siku za mwisho tafsiri yake ndio inaleta utata kwa wengi lakini kinachosemwa kwenye bible ni judgement day ambayo ni real hata sio blah! blah!

Siku ya mwisho ni siku ya kifo chako lakini judgement day is for both living and the dead
 
Hakuna muda bora zaidi duniani kama huu tulio nao.
Kwa kiwango kikubwa, njaa imedhibitiwa, vita si vingi sana kama ilivyokuwa zamani, uongo wa dini unadhihirika waziwazi kwa watu wengi zaidi kwa mara moja.

Dunia Iko salama sasa, kuliko wakati mwingine wowote ule. No wonder idadi ya watu imeongezeka sana.
Shukrani zote ziwaelekee wanasayansi.
 
Hakuna muda bora zaidi duniani kama huu tulio nao.
Kwa kiwango kikubwa, njaa imedhibitiwa, vita si vingi sana kama ilivyokuwa zamani, uongo wa dini unadhihirika waziwazi kwa watu wengi zaidi kwa mara moja.

Dunia Iko salama sasa, kuliko wakati mwingine wowote ule. No wonder idadi ya watu imeongezeka sana.
Shukrani zote ziwaelekee wanasayansi.
Mkuu una akili mno 🤔
 
Hakuna muda bora zaidi duniani kama huu tulio nao.
Kwa kiwango kikubwa, njaa imedhibitiwa, vita si vingi sana kama ilivyokuwa zamani, uongo wa dini unadhihirika waziwazi kwa watu wengi zaidi kwa mara moja.

Dunia Iko salama sasa, kuliko wakati mwingine wowote ule. No wonder idadi ya watu imeongezeka sana.
Shukrani zote ziwaelekee wanasayansi.

Unabii huu haukusema kuwa mambo haya yatatokea mara moja, lakini kuwa yatakuwa kama "maumivu ya utungu wa uzazi" ,mbona Aya zipo wazi yaani yataongezeka kwa nguvu na ukaribu kabla ya mwisho kufika.

Vita vya kisasa kama Ukraine, Mashariki ya Kati, na Afrika zinazoendelea.
Majanga ya asili kama matetemeko ya ardhi, ukame, na mabadiliko ya tabianchi yanayoongezeka.
Migawanyiko ya kijamii, maadili kuporomoka, na kuongezeka kwa dhuluma.
Unabii haukusema kuwa dalili hizi lazima ziwe na kiwango kikubwa wakati mmoja; zinaweza kutokea katika mfululizo wa vipindi tofauti.
Takwimu zinaonyesha kuwa njaa bado ni tatizo kubwa duniani. Kwa mujibu wa ripoti za Umoja wa Mataifa (FAO), mamilioni ya watu bado wanakabiliwa na njaa kila mwaka, hasa barani Afrika na Asia. Hii inaonyesha kwamba bado dalili za Mathayo 24:7 zipo.
Hoja ya kwamba "uongo wa dini unadhihirika" pia inaweza kuwa sehemu ya unabii nakubaliana na wewe . Yesu alionya kwamba kutakuwepo na manabii wa uongo na mafundisho yanayopotosha (Mathayo 24:11). Kuenea kwa imani zisizo za Kikristo na kupungua kwa imani ya watu kwa Mungu ni dalili za nyakati za mwisho.

Kuongezeka kwa Idadi ya Watu:
Kuongezeka kwa idadi ya watu ni matokeo ya maendeleo ya kisayansi na huduma bora za afya. Hata hivyo, Biblia haiongelei moja kwa moja kuhusu idadi ya watu, bali kuhusu maadili na matukio yanayoashiria nyakati za mwisho.
Yesu hakutoa unabii wa Mathayo 24 ili kutisha, bali kuwaonya watu wawe tayari. Kusema kwamba dunia iko salama hakuondoi ukweli kwamba maisha ya binadamu yanaendelea kukumbwa na changamoto. Pia, Biblia inasisitiza kwamba dalili za mwisho wa nyakati zitajulikana zaidi kwa kiwango cha kiroho, si tu cha mwili.

Wanasayansi wameleta maendeleo makubwa, lakini hayawezi kutatua matatizo yote ya mwanadamu, kama vile maadili, upendo wa kweli, na amani ya kudumu. Biblia inasisitiza kwamba suluhisho kamili la matatizo ya dunia litatokana na kurudi kwa Kristo (Ufunuo 21:3-4).
 
Mathayo 24 inatoa dalili za kubomolewa Yerusalem na Kuja kwa Yesu mara ya pili.

Walengwa wa Dalili hizo kwa ukubwa ni waovu, na wacha Mungu kwao ni kama tahadhari wasijisahau.

Dalili hizo zinatoa fursa nyingi za kibiashara. Kwa sababu Yesu alitoa agizo la kufanya biashara hadi atakapokuja, ni ujinga kujifungia ndani au kanisani kwa kuogopa dalili hizo.


1: Kutakua na njaa.
Biashara: Anza kilimo, uza vyakula maana siku za mwisho watu wengi hawatakuwa na vyakula.

2: Kutakuwa na Magonjwa.
Fungua Hospitali, duka la madawa au sanitalium. Anzisha huduma ya maombezi ya kiroho kwa wagonjwa.

3: Manabii wa uongo na wadanganyaji
Andika vitabu, semina au kama vipi kuwa nabii wa ukweli maana ukweli unanguvu kuliko uongo. Hii utakuwa unafanya biashara yenye faida kiroho.

.4: VITA NA TETESI ZA VITA.
Vita, matishio ya vita, ugaidi na mauaji ya kimbari.
Anzisha huduma ya faraja kwa wahanga wa kivita, Tumia tetesi za kivita kufanya maamuzi ya kifedha na kiuwekezaji. Itakusaidia kujua tetesi hizo, na vita hivyo vinaathari kani katika kuoanda na kushuka kwa soko. Kuwa muwekejazi


5: ONGEZEKO LA UHALIFU (Mathayo 24:12

Fungua kampuni ya Ulinzi,
Duka la vifaa vya kielekroniki vya kujilinda na uharifu. Buni mifumo ya kisasa ya ulinzi majumbani (home security services).


Ni hayo tu wakuu.

Mtumishi Matunduizi
Sabato njema.
Swali lolote kuhusu Biblia jibu lake linatoka kwenye hiyo hiyo Biblia.
Mfano; wewe mleta Mada hapa jukwaani jibu ya hayo uliyoaandika ni mawazo yako na sio Biblia inavyojua.

Biblia ni mkataba/ maagano kati ya Mungu na wateule wake. (Ukumbuke Mungu ni roho hata haya maagano au makubaliano au mkataba huu ni kwa njia ya kiroho)
Jibu la Njaa ni nini? Rejea kitabu cha Amosi 8:11.
Muombe Mungu maana na wewe utapata neema ya kumjua zaidi. Kazi ni kwako itakuwa ni kuchagua kweli au kufuata uongo na uzushi.
 
Swali lolote kuhusu Biblia jibu lake linatoka kwenye hiyo hiyo Biblia.
Mfano; wewe mleta Mada hapa jukwaani jibu ya hayo uliyoaandika ni mawazo yako na sio Biblia inavyojua.

Biblia ni mkataba/ maagano kati ya Mungu na wateule wake. (Ukumbuke Mungu ni roho hata haya maagano au makubaliano au mkataba huu ni kwa njia ya kiroho)
Jibu la Njaa ni nini? Rejea kitabu cha Amosi 8:11.
Muombe Mungu maana na wewe utapata neema ya kumjua zaidi. Kazi ni kwako itakuwa ni kuchagua kweli au kufuata uongo na uzushi.
Kila nilichokiandika kimo kwenye biblia.
Njaa itakuwa kubwa sana. Ndio maana matajiri wakubwa africa wamehamia kwenye bidhaa za vyakula, maana forecast ya njaa kuongezeka iko wazi.
 
Hizo ni bla bla tu za kiimani , hakuna siku ya mwisho zaidi ya ile siku unakufa wewe kama wewe

1. Umewahi kujiuliza umetoka wapi hadi ukaja hapa duniani na baada ya kuishi vimiaka 80, ukifa unakwenda wapi?
2. Na kama hapangekuwa na siku za mwisho, kwa nini ufe, usiishi milele?
3. Hata ukitumia akili yako vizuri unaweza kujua kuwa, lazima kuna mahala ambapo watu walio kosa haki yao hapa Duniani wataipata....napo ndio siku za mwisho "day of judgement"
 
Mathayo 24 inatoa dalili za kubomolewa Yerusalem na Kuja kwa Yesu mara ya pili.

Walengwa wa Dalili hizo kwa ukubwa ni waovu, na wacha Mungu kwao ni kama tahadhari wasijisahau.

Dalili hizo zinatoa fursa nyingi za kibiashara. Kwa sababu Yesu alitoa agizo la kufanya biashara hadi atakapokuja, ni ujinga kujifungia ndani au kanisani kwa kuogopa dalili hizo.


1: Kutakua na njaa.
Biashara: Anza kilimo, uza vyakula maana siku za mwisho watu wengi hawatakuwa na vyakula.

2: Kutakuwa na Magonjwa.
Fungua Hospitali, duka la madawa au sanitalium. Anzisha huduma ya maombezi ya kiroho kwa wagonjwa.

3: Manabii wa uongo na wadanganyaji
Andika vitabu, semina au kama vipi kuwa nabii wa ukweli maana ukweli unanguvu kuliko uongo. Hii utakuwa unafanya biashara yenye faida kiroho.

.4: VITA NA TETESI ZA VITA.
Vita, matishio ya vita, ugaidi na mauaji ya kimbari.
Anzisha huduma ya faraja kwa wahanga wa kivita, Tumia tetesi za kivita kufanya maamuzi ya kifedha na kiuwekezaji. Itakusaidia kujua tetesi hizo, na vita hivyo vinaathari kani katika kuoanda na kushuka kwa soko. Kuwa muwekejazi


5: ONGEZEKO LA UHALIFU (Mathayo 24:12

Fungua kampuni ya Ulinzi,
Duka la vifaa vya kielekroniki vya kujilinda na uharifu. Buni mifumo ya kisasa ya ulinzi majumbani (home security services).


Ni hayo tu wakuu.

Mtumishi Matunduizi
Sabato njema.
Kwa kuongezea
6. Fungua kampuni ya mawasiliano,kwa kua patakua na uhitaji mkubwa wa kupashana habari.
7.Wekeza kwenye makampuni makubwa ya usafirishaji kwenda sayari nyingine kujaribu maisha huko.
8. Wekeza kwenye kumbi za statehe na burudani ili kuwapunguzia msongo wa mawazo wale wenye woga wa kuachana na maisha haya.
 
Back
Top Bottom