Huu ni Ukweli mtupuHakuna muda bora zaidi duniani kama huu tulio nao.
Kwa kiwango kikubwa, njaa imedhibitiwa, vita si vingi sana kama ilivyokuwa zamani, uongo wa dini unadhihirika waziwazi kwa watu wengi zaidi kwa mara moja.
Dunia Iko salama sasa, kuliko wakati mwingine wowote ule. No wonder idadi ya watu imeongezeka sana.
Shukrani zote ziwaelekee wanasayansi.
Nyoo,mwanadamu angeishi milele angejishebedua sana,Mungu aliliona hili mapema akarefusha umri wa kobe.Umewahi kujiuliza umetoka wapi hadi ukaja hapa duniani na bada ya kuishi vimiaka 80, ukifa unakwenda wapi?
Na kama hapangekuwa na siku za mwisho, kwa nini ufe, usiishi milele?
Nyakati hizi ukilinganisha na nyakati/karne nyingine zilizopita binadamu wengi wako katika hali nzuri zaidi ndio maana hata wastani wao wa maisha umeongezeka sana kutoka miaka 40 mpaka 80. Watu wengi hawafi katika vita kama zamani, watu wengi hawafi katika umri mdogo kwa sababu ya magonjwa na kukosa utabibu kama zamani, binadamu anaweza kuzalisha chakula na kuweka akiba(tatizo kubwa liliobaki ni ugavi wa hiko chakula na ulaji mbovu) pia watu wengi zaidi duniani wanaisha katika tawala za kidemokrasia kuliko nyakati nyingine zote.Unabii huu haukusema kuwa mambo haya yatatokea mara moja, lakini kuwa yatakuwa kama "maumivu ya utungu wa uzazi" ,mbona Aya zipo wazi yaani yataongezeka kwa nguvu na ukaribu kabla ya mwisho kufika.
Vita vya kisasa kama Ukraine, Mashariki ya Kati, na Afrika zinazoendelea.
Majanga ya asili kama matetemeko ya ardhi, ukame, na mabadiliko ya tabianchi yanayoongezeka.
Migawanyiko ya kijamii, maadili kuporomoka, na kuongezeka kwa dhuluma.
Unabii haukusema kuwa dalili hizi lazima ziwe na kiwango kikubwa wakati mmoja; zinaweza kutokea katika mfululizo wa vipindi tofauti.
Takwimu zinaonyesha kuwa njaa bado ni tatizo kubwa duniani. Kwa mujibu wa ripoti za Umoja wa Mataifa (FAO), mamilioni ya watu bado wanakabiliwa na njaa kila mwaka, hasa barani Afrika na Asia. Hii inaonyesha kwamba bado dalili za Mathayo 24:7 zipo.
Hoja ya kwamba "uongo wa dini unadhihirika" pia inaweza kuwa sehemu ya unabii nakubaliana na wewe . Yesu alionya kwamba kutakuwepo na manabii wa uongo na mafundisho yanayopotosha (Mathayo 24:11). Kuenea kwa imani zisizo za Kikristo na kupungua kwa imani ya watu kwa Mungu ni dalili za nyakati za mwisho.
Kuongezeka kwa Idadi ya Watu:
Kuongezeka kwa idadi ya watu ni matokeo ya maendeleo ya kisayansi na huduma bora za afya. Hata hivyo, Biblia haiongelei moja kwa moja kuhusu idadi ya watu, bali kuhusu maadili na matukio yanayoashiria nyakati za mwisho.
Yesu hakutoa unabii wa Mathayo 24 ili kutisha, bali kuwaonya watu wawe tayari. Kusema kwamba dunia iko salama hakuondoi ukweli kwamba maisha ya binadamu yanaendelea kukumbwa na changamoto. Pia, Biblia inasisitiza kwamba dalili za mwisho wa nyakati zitajulikana zaidi kwa kiwango cha kiroho, si tu cha mwili.
Wanasayansi wameleta maendeleo makubwa, lakini hayawezi kutatua matatizo yote ya mwanadamu, kama vile maadili, upendo wa kweli, na amani ya kudumu. Biblia inasisitiza kwamba suluhisho kamili la matatizo ya dunia litatokana na kurudi kwa Kristo (Ufunuo 21:3-4).
Hapo ndipo akili yako ilipofikia! Kama wewe una mwanzo na una mwisho wako wa kufa! Unashindwa kuelewa kuwa dunia na yenyewe ina mwanzo na kwa hesabu hiyo hiyo pia ina mwisho!Hizo ni bla bla tu za kiimani , hakuna siku ya mwisho zaidi ya ile siku unakufa wewe kama wewe
Hizo itakua kitabu cha LukaHizo solution ulizoainisha zimeandikwa wapi mtumishi?
Njaa sio mambo ya mwili. Uwe unasoma maandishi kwa usahihi. Njaa inayozungumzwa hapo ni kukosa neno la Mungu lillilo kweli. Mungu ni roho, chakula au maji katika ulimwengu wa kiroho ambapo Mungu yupo maana yake ni "neno la Mungu la kweli ambalo halijachakachuliwa". Hii ndio maana halisi ya chakula au maji katika Biblia.Kila nilichokiandika kimo kwenye biblia.
Njaa itakuwa kubwa sana. Ndio maana matajiri wakubwa africa wamehamia kwenye bidhaa za vyakula, maana forecast ya njaa kuongezeka iko wazi.
Kuhusu maqndiko hiyo ni dqlili nyingine.Njaa sio mambo ya mwili. Uwe unasoma maandishi kwa usahihi. Njaa inayozungumzwa hapo ni kukosa neno la Mungu lillilo kweli. Mungu ni roho, chakula au maji katika ulimwengu wa kiroho ambapo Mungu yupo maana yake ni "neno la Mungu la kweli ambalo halijachakachuliwa". Hii ndio maana halisi ya chakula au maji katika Biblia.
Karibu.
Hivi kweli eti ???Hizo ni bla bla tu za kiimani , hakuna siku ya mwisho zaidi ya ile siku unakufa wewe kama wewe
Wewe Khenge kumbe una akili timamu hivi,Mathayo 24 inatoa dalili za kubomolewa Yerusalem na Kuja kwa Yesu mara ya pili.
Walengwa wa Dalili hizo kwa ukubwa ni waovu, na wacha Mungu kwao ni kama tahadhari wasijisahau.
Dalili hizo zinatoa fursa nyingi za kibiashara. Kwa sababu Yesu alitoa agizo la kufanya biashara hadi atakapokuja, ni ujinga kujifungia ndani au kanisani kwa kuogopa dalili hizo.
1: Kutakua na njaa
Biashara: Anza kilimo, uza vyakula maana siku za mwisho watu wengi hawatakuwa na vyakula.
2: Kutakuwa na Magonjwa
Fungua Hospitali, duka la madawa au sanitalium. Anzisha huduma ya maombezi ya kiroho kwa wagonjwa.
3: Manabii wa uongo na wadanganyaji
Andika vitabu, semina au kama vipi kuwa nabii wa ukweli maana ukweli unanguvu kuliko uongo. Hii utakuwa unafanya biashara yenye faida kiroho.
4: Vita na tetesi za vita
Vita, matishio ya vita, ugaidi na mauaji ya kimbari. Anzisha huduma ya faraja kwa wahanga wa kivita, Tumia tetesi za kivita kufanya maamuzi ya kifedha na kiuwekezaji. Itakusaidia kujua tetesi hizo, na vita hivyo vinaathari kani katika kuoanda na kushuka kwa soko. Kuwa muwekejazi
5: Ongezeko la uhalifu (Mathayo 24:12
Fungua kampuni ya Ulinzi, Duka la vifaa vya kielekroniki vya kujilinda na uharifu. Buni mifumo ya kisasa ya ulinzi majumbani (home security services).
Ni hayo tu wakuu.
Mtumishi Matunduizi
Sabato njema.
BarikiwaWewe Khenge kumbe una akili timamu hivi,
Sasa mbona hua unajifanya akili nyanyachungu mazee?
Sema nini nakubali sana blood!
πππ
Nitakuwa natekeleza wajibu alionipa Mungu. Wanaomuamini Mungu wanapaswa kuwa bize na vipaji walivyopewa. Anatakiwa atukute tuko katika kutekeleza wajibu. Maana yeye amesema atakuwa nasi hadi mwisho wa Yote.Muda huo we utakuwa kwenye kundi gani? We huo mwisho utakuwa haukuhusu au?
Aisee! Umewaza nje ya box!Mathayo 24 inatoa dalili za kubomolewa Yerusalem na Kuja kwa Yesu mara ya pili.
Walengwa wa Dalili hizo kwa ukubwa ni waovu, na wacha Mungu kwao ni kama tahadhari wasijisahau.
Dalili hizo zinatoa fursa nyingi za kibiashara. Kwa sababu Yesu alitoa agizo la kufanya biashara hadi atakapokuja, ni ujinga kujifungia ndani au kanisani kwa kuogopa dalili hizo.
1: Kutakua na njaa
Biashara: Anza kilimo, uza vyakula maana siku za mwisho watu wengi hawatakuwa na vyakula.
2: Kutakuwa na Magonjwa
Fungua Hospitali, duka la madawa au sanitalium. Anzisha huduma ya maombezi ya kiroho kwa wagonjwa.
3: Manabii wa uongo na wadanganyaji
Andika vitabu, semina au kama vipi kuwa nabii wa ukweli maana ukweli unanguvu kuliko uongo. Hii utakuwa unafanya biashara yenye faida kiroho.
4: Vita na tetesi za vita
Vita, matishio ya vita, ugaidi na mauaji ya kimbari. Anzisha huduma ya faraja kwa wahanga wa kivita, Tumia tetesi za kivita kufanya maamuzi ya kifedha na kiuwekezaji. Itakusaidia kujua tetesi hizo, na vita hivyo vinaathari kani katika kuoanda na kushuka kwa soko. Kuwa muwekejazi
5: Ongezeko la uhalifu (Mathayo 24:12
Fungua kampuni ya Ulinzi, Duka la vifaa vya kielekroniki vya kujilinda na uharifu. Buni mifumo ya kisasa ya ulinzi majumbani (home security services).
Ni hayo tu wakuu.
Mtumishi Matunduizi
Sabato njema.
ukiweza kufungua spiritual code ya kuweza kuponya watu, ur filthy richAnzisha huduma ya maombezi ya kiroho kwa wagonjwa.