mwarya hamadous
Senior Member
- Oct 22, 2016
- 196
- 136
Nimegundua wanaosomeshwa number bila huruma sio watumishi wa umma,watumishi tunasomeshwa number lkn afadhar ukifika mwisho wa mwez kama jana wameweka kamshahara kao kasikokuwa na ongezeko pamoja na kuwa maisha yamepanda angalau unapunguza maden gengen kwa mpemba,balaa lipo kwa wasiokuwa na ajir jana kwa nyakati tofaut nimefatwa na watu wawili wenye familia zao wakitaka mkopo hata elf 15 imagine...jaman har ngum mtaani mpka watu waanze kuuana...