Baada ya kutajwa na Jopo la UN; Mndolwa aondolewa Burundi!


NO,

Anatokea mkoa wa Ruvuma, kama kugombea basi labda ana mpango wa kugombea huko kwao Nyasa (jimbo la Mbiga Mbiga Magharibi, sijui ni nani Mbunge wake wa sasa may be Komba).
 
mnhhh....haya bwana...hata report ya UN haijatoka officially...naona timu pinzani inaogopa na kufyata mkia....hoja ijibiwe kwanza sio kuondoa ushahidi....then atapewa post ipi mkuuu...

Kwao wanadhani hii ni mbinu kubwa! Ndo mwisho wa kufikiri kwao.

UN iliwahusisha viongozi wa juu wa chama tawala. Isije ikawa ni mwenyekiti wao na katibu mkuu wao. Uchaguzi ni mwezi kesho!
 
Kiasi inakuwa inashangaza kama mtu anapata new post akiwa na over 60, watanzania wengine hawapo? Hao vijana waliozungumziwa na JK kwamba watapewa uongozi ndio hao?
 

Mkuu Geza Ulole

....ni kweli kabisa huyu Mama ni kati ya watu wachache sana serikalini walio waadilifu............Mrema (TANROADS) akimuona huyu Mama......anweza hata kujikolea............Mrema asingeweza kupata nafasi aliyonayo under Mama Sijaona watch............

.......huyu Mama ni wa "Kunyumba"...i.e. kutoka mkoa wa Ruvuma........

Ni kweli kabisa ilipaswa abakie hapa hapa.....lakini ndio siasa hizo ndugu yangu.........
 

...kwa wakwe eehh
 


Mkuu huyu mama simjui..ila kwa comment zako umenifanya nianze kutafuta habari zake..maana mkuu wewe mara nyingi unatoa credibility where it is due...kwa hiyo nashawishika kuamini kwamba mama ni hardowrking.

Hivi kwa nini jamani mkulu asiamke asubuhi..aseme Masanja, haya nakutuma kaliwakilishe taifa letu huko Uswidi..aone kijana wa Sengerema nitakavyofanya shughuli pevu!

Tatizo la watoto wa wakulima hatujulikani...as a result ujuzi wetu wanafaidi wengine....

Ila nadhani its high time..Viongozi wetu waache bureacracy..wawateue vijana kwenye nafasi za ubalozi.....Tunaweza bwana.....Most of the successful diplomats in history walikwenda wakiwa vijana wadogo..
 


 

Attachments

  • Namtumbo.jpg
    43 KB · Views: 99
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…