Mikopo Chefuchefu
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 3,373
- 6,795
Dah, leo wakina 'swit fm' wameuchunaa na kutulia kama maji ya mtungi kama vile hawako Duniani.
Au pengine huko hapajakucha bado niendelee kuvuta subra!
Nimepita kwenye mitandao mbali mbali ila sijaona pilika pilika za mwana swit fm hata mmoja kama ambavyo tumezoea.
Sio Jelly, wala Slow slow. Wote wamekwenda mapumziko.
Inaonekana leo wana swit fm mioyo yao kwatuu! Imetakata kabisa.
Wana swit fm bhana...
Ila think tank ya swit fm nimeinyooshea mikono... Sio ya kispot spot.
By the way, hata kule upande wa Chai dema, naona kafuraha ka chini chini kametawala. Watu wako wanajipanga kugawana mikoba.
Yani siku ya leo nchi imepoaa utadhani imepigwa na baridi la Antraktica... Soo cool yani today.
Au pengine huko hapajakucha bado niendelee kuvuta subra!
Nimepita kwenye mitandao mbali mbali ila sijaona pilika pilika za mwana swit fm hata mmoja kama ambavyo tumezoea.
Sio Jelly, wala Slow slow. Wote wamekwenda mapumziko.
Inaonekana leo wana swit fm mioyo yao kwatuu! Imetakata kabisa.
Wana swit fm bhana...
Ila think tank ya swit fm nimeinyooshea mikono... Sio ya kispot spot.
By the way, hata kule upande wa Chai dema, naona kafuraha ka chini chini kametawala. Watu wako wanajipanga kugawana mikoba.
Yani siku ya leo nchi imepoaa utadhani imepigwa na baridi la Antraktica... Soo cool yani today.