Tetesi: Baada ya kutishwa, Ruge Mutahaba muda mfupi ujao anaenda kupingana na ushahidi uliokuwepo

Status
Not open for further replies.
Mamamayo,kila kuti mnalokalia linakatika,huyo bashaako ananivua nguo mwenyewe hata kumtetea ni ngumu,sijui wapi utaficha aibu yako
 
nchi inaendeshwa kwa nguvu za mtandao....hii...tusipokuwa makini tutaacha kazi za msingi kungoja kuona maigizo ya mabashite.
 

Uzuri wa JF hakuna anayekuja kuleta feedback either kwa kuomba msamaha kwa kukashifu mtu na taaluma yake au kuendeleza kwa maana aliyosema ni kweli. Ndo jamii f inaonekna ni kama kiota cha vijana wa kijiweni. Unamvunjia heshima Ruge kisa uhuru wa bando du. Aibu.
 
Baada ya kumsikia Ruge una maoni gani sasa?

Tatizo umbumbumbu umekuzidi
 
wiki iliyopita ulisema kipindi unachokioenda ni @clouds360 na shilawadu ukisema hujaskia yaliyozungumzwa na mkulugenzi wakati ni mpenzi wa hivyo vipindi mi pia napenda kuskiliza PB ya clousd but nimejikuta naskiliza @cloudse360. Mimi in Mani vileeeeeee
 
Lengo langu LIMETIMIA na najiona MSHINDI na pengine nadhani badala ya kupovuka kujifanya mnanishambulia basi MNGENIPONGEZA kwani ujanja nilioutumia ambao kwa upeo wenu mfupi hamtoweza kunielewa GENTAMYCINE.
HAPANA LEO UMEPOTEA......siku zote sio sawa
 
Vipi bado upo?
 

Kama nakuona ulivyojificha chini ya meza saa hizi.
 
Umeumbuka mtoa mada. Watz wana akili sometimes...
 
Hueleweki
 

Shehe Yahaya alishakufa na elimu yake ya utabiri.
 
Mkuu Sidhani kama Ruge anaweza kuwa na akili Mbovu kiasi hicho [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Ujinga ujinga tu.
 

WAAAFU EFU EMU!

[HASHTAG]#AntiVirusVinega2017[/HASHTAG]
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…