Baada ya kutoa kipigo kwa Ihefu, anayefuata anajielewa!

Baada ya kutoa kipigo kwa Ihefu, anayefuata anajielewa!

Yanga atakufumua Kisha oazi ataimaliza waydad pale pale kwenye mshono wydad anafumua Tena.
 
JamiiForums-125486255.jpg
 
Anayefuata ni Yanga mbabe wako halafu CHINJA CHINJA [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23]
Ngoja wakutane na wazee wa uso wa mbuzi, halafu baada ya mechi; waanze tena zile kelele zao za kuwalaumu na kuwakataa baadhi ya wachezaji wao, benchi lao la ufundi, mwenyekiti wao mangungu, na yule mwekezaji wao janja janja.
 
Back
Top Bottom