Baada ya kutoa kipigo kwa Ihefu, anayefuata anajielewa!

Yanga atakufumua Kisha oazi ataimaliza waydad pale pale kwenye mshono wydad anafumua Tena.
 
Anayefuata ni Yanga mbabe wako halafu CHINJA CHINJA [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23]
Ngoja wakutane na wazee wa uso wa mbuzi, halafu baada ya mechi; waanze tena zile kelele zao za kuwalaumu na kuwakataa baadhi ya wachezaji wao, benchi lao la ufundi, mwenyekiti wao mangungu, na yule mwekezaji wao janja janja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…