mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
🤣🤣🤣🤣🤣Acha ajizime dataYanga ina misimu mitatu inamkojoza simba
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ngojaYanga atakufumua Kisha oazi ataimaliza waydad pale pale kwenye mshono wydad anafumua Tena.
We kiazi una maanisha bingwa wako mtetezi , ama kweli kwenye ndoto hakuna kinachoshindikana.Anayefuata anajielewa, aanze tu kutia maji asije kunyolewa kavu kavu, ohoooo!!!!
Anayefuata si ihefu huyohuyoAnayefuata anajielewa, aanze tu kutia maji asije kunyolewa kavu kavu, ohoooo!!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yanga ina misimu mitatu inamkojoza simba
Anayefuata ni Yanga mbabe wako halafu CHINJA CHINJA [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23]Anayefuata anajielewa, aanze tu kutia maji asije kunyolewa kavu kavu, ohoooo!!!!
Ngoja wakutane na wazee wa uso wa mbuzi, halafu baada ya mechi; waanze tena zile kelele zao za kuwalaumu na kuwakataa baadhi ya wachezaji wao, benchi lao la ufundi, mwenyekiti wao mangungu, na yule mwekezaji wao janja janja.Anayefuata ni Yanga mbabe wako halafu CHINJA CHINJA [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23]