Baada ya kutoka kifungoni

Baada ya kutoka kifungoni

Elvis Legacy

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2017
Posts
3,984
Reaction score
5,820
Habari zenu wana JF. Nimefurahi baada ya kumaliza kutumikia kifungo changu cha siku tatu baada ya kupata ban. Ki ukweli sikuwa na raha kabisa kwa kutopata fursa ya kushiriki kikamilifu kwenye mijadala mbali mbali humu ndani ya siku hizo 3.

Sababu za kupewa kifungo ni kutokana na kuwahi siti tatu za mbele kwenye nyuzi tofauti mfululizo pasipo kuchangia chochote cha maana. Hivyo naomba wana JF tuwe wachangiaji wa mada husika na tuache kuwahi siti pasipo na tija.

Asanteni.
 
Habari zenu wana JF. Nimefurahi baada ya kumaliza kutumikia kifungo changu cha siku tatu baada ya kupata ban. Ki ukweli sikuwa na raha kabisa kwa kutopata fursa ya kushiriki kikamilifu kwenye mijadala mbali mbali humu ndani ya siku hizo 3.

Sababu za kupewa kifungo ni kutokana na kuwahi siti tatu za mbele kwenye nyuzi tofauti mfululizo pasipo kuchangia chochote cha maana. Hivyo naomba wana JF tuwe wachangiaji wa mada husika na tuache kuwahi siti pasipo na tija.

Asanteni.
ni hilo tu au kuna jengine mkuu??..

Jitafute ...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mods sasa hivi hawataki mchezo. Mwenyewe nilipigwa ban jana sababu ya kusema ngoja waje [emoji23]
 
Tii sheria bila shuruti mkuu la sivyo utapata tabu sana....
 
Vuta subra tu, utapata hitaji lako hata kama sio leo basi hata kesho [emoji23]

Ok sawa, aisee nami nionje raha ya bhani ili nifanye mambo yangu, mana kushinda humu siyo ishu kabisa
 
Ok sawa, aisee nami nionje raha ya bhani ili nifanye mambo yangu, mana kushinda humu siyo ishu kabisa
Kweli, japo sio lazima upigwe ban ndo uachane na kushinda humu
 
Back
Top Bottom