sembo JF-Expert Member Joined May 25, 2011 Posts 4,350 Reaction score 3,451 Jan 16, 2016 #1 FT: Simba SC 1 Mtibwa Sugar 1 Mfungaji; Hamisi Kiiza akiunganisha krosi safi ya Tshabalala kutoka kushoto. Kwa taarifa zaidi: LIVE KUTOKA TAIFA: SIMBA 1 VS MTIBWA SUGAR 0 (FULL TIME) - SALEH JEMBE NOTE: Japo tumeshinda leo.. Aveva na Washikaji zako mnatakiwa mfanye kitu katika hii Timu.. Maana maumivu inayotupa hayaelezeki.
FT: Simba SC 1 Mtibwa Sugar 1 Mfungaji; Hamisi Kiiza akiunganisha krosi safi ya Tshabalala kutoka kushoto. Kwa taarifa zaidi: LIVE KUTOKA TAIFA: SIMBA 1 VS MTIBWA SUGAR 0 (FULL TIME) - SALEH JEMBE NOTE: Japo tumeshinda leo.. Aveva na Washikaji zako mnatakiwa mfanye kitu katika hii Timu.. Maana maumivu inayotupa hayaelezeki.
Belo JF-Expert Member Joined Jun 11, 2007 Posts 12,897 Reaction score 10,213 Jan 16, 2016 #2 Fanyeni kampeni Dalali au Rage warudi kwenye timu
pachachiza JF-Expert Member Joined Oct 18, 2012 Posts 1,863 Reaction score 2,757 Jan 16, 2016 #3 sembo said: FT: Simba SC 1 Mtibwa Sugar 1 Mfungaji; Hamisi Kiiza akiunganisha krosi safi ya Tshabalala kutoka kushoto. Kwa taarifa zaidi: LIVE KUTOKA TAIFA: SIMBA 1 VS MTIBWA SUGAR 0 (FULL TIME) - SALEH JEMBE NOTE: Japo tumeshinda leo.. Aveva na Washikaji zako mnatakiwa mfanye kitu katika hii Timu.. Maana maumivu inayotupa hayaelezeki. Click to expand... kwann wao mbona simba Kuna watu wengi tu wanaweza kuongoza acheni uoga wa kizamani huo nyie mwisho wa siku mtaifanya simba kuwa ya kurithishana km ufalme.
sembo said: FT: Simba SC 1 Mtibwa Sugar 1 Mfungaji; Hamisi Kiiza akiunganisha krosi safi ya Tshabalala kutoka kushoto. Kwa taarifa zaidi: LIVE KUTOKA TAIFA: SIMBA 1 VS MTIBWA SUGAR 0 (FULL TIME) - SALEH JEMBE NOTE: Japo tumeshinda leo.. Aveva na Washikaji zako mnatakiwa mfanye kitu katika hii Timu.. Maana maumivu inayotupa hayaelezeki. Click to expand... kwann wao mbona simba Kuna watu wengi tu wanaweza kuongoza acheni uoga wa kizamani huo nyie mwisho wa siku mtaifanya simba kuwa ya kurithishana km ufalme.
Freeland JF-Expert Member Joined Jan 24, 2012 Posts 14,481 Reaction score 10,227 Jan 17, 2016 #4 mfumo wa uendeshaji wa simba inabidi ubadilike