Kichaa mmoja kapiga cm hospitalini
KICHAA:halooo samahani eti chumba namba 17 kina mtu
NESI MAPOKEZI:subiri nikaangalie
KICHAA😛ouwaaaaaaa
NESI MAPOKEZI:nimekwenda kuangalia hakuna
mtu,kwanini umeuliza hvyo…..?
KICHAA:nilitaka kupata uhakika kama kweli nimetoroka
au bado nipo
HOPE OF JF
CC
Senator JR