Baada ya kutosti vyakula hivi ni kama vimetokea HELL!

Pilipilihoho

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2016
Posts
202
Reaction score
145
Je mliwahi kujaribu kufanya mkate according to recipes nzuri lakini matokeo yako ni tofauti sana kulingana na zilizochapishwa mtandaoni? Picha hizo zitakuchekesha! Kama mnataka fuara zaidi
Kabla ya kuingia oven. Wanapendeza sana!


Baada ya kutosti. Ughh! Wamebadilisha sura..


Lakini still wanapendeza siyo?

Mwingine anataka kujaribu


Lakini..














....


...cheese.....


Lovely dubu tangazoni


Lakini matokeo halisi..




Je wewe ni dubu gani......


Ahh... pole kuku
 

Attachments

  • QQ截图20160314105003.jpg
    21.6 KB · Views: 44
Ha ha ha ha ha ha ha uwiiiiii kuna picha ya kalmati nlitumiwa na masai dada nkajaribu kutengeneza mweh zilivotokea ukiziona waweza dhani vyura
 
Haiahaha my dia nilisahau kukuuliza unipe matoke
Hahahaha nakumbuka mpenzi hahahaha hapa nacheka hatari
Niliona hata aibu kukupa mrejesho, yani zilikuwa na shape ya chura ha ha ha zilikuwa tamu lakini
 
Haaaaa haaaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka hatare
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…