LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,491
- 12,560
Kwa mda mrefu kipindi cha nyuma nilikuwa nasumbuliwa na malaria isiyoisha na nilikuwa nikitumia dawa tu za kawaida inatulia na baada ya miezi minne au mitatu malaria ikawa inaanza tena
Hadi kuna kipindi nikahisi yaweza kuwa nina ngoma maana sio bure ikanibidi nikacheki kama ni kweli ili nijue moja kuwa yaweza kuwa kinga haipo sawa, lakini baada ya kucheki nikajikuta nipo negative, yaani dam ipo salama
Dawa nlizokuwa natumia kwa kujitibu malaria zilikuwa ni zile za bei ya 15k hadi 20k ambazo watu wengi ndio huwa wanaziita original, na nlikuwa nazinunua kwenye maduka makubwa yaliyothibitishwa ambayo sio rahisi kuwa na madawa feki lakini cha kushangaza nikikaa miezi minne au sita tu malaria ikawa inarudi pale pale
Hivyo kuna dr mmoja akanishauri kuwa nitumie dawa mseto za malaria amabazo huwa ni bure japo watu wengi wanazizarau na wengine wanaziogopa sababu ya wingi wa vidonge lakini akanambia kuwa ni nzuri sana na zitaleta matokeo mazuri,
Hivyo baada ya kuzitumia mwaka 2015 leo hii natimiza mwaka wa 3 bila kuugua malaria na ukizingatia mimi ni mfanyakazi nnaefanya kazi usiku na mchana na mazingira ya usiku yana mmbu wa kutisha lakini hadi leo hii malaria haijanirudia mwaka wa tatu huu
Na hii sio promo cz dawa zenyewe ni bure tu, ni ushuhuda tu na ushauri... Asanteni
Hadi kuna kipindi nikahisi yaweza kuwa nina ngoma maana sio bure ikanibidi nikacheki kama ni kweli ili nijue moja kuwa yaweza kuwa kinga haipo sawa, lakini baada ya kucheki nikajikuta nipo negative, yaani dam ipo salama
Dawa nlizokuwa natumia kwa kujitibu malaria zilikuwa ni zile za bei ya 15k hadi 20k ambazo watu wengi ndio huwa wanaziita original, na nlikuwa nazinunua kwenye maduka makubwa yaliyothibitishwa ambayo sio rahisi kuwa na madawa feki lakini cha kushangaza nikikaa miezi minne au sita tu malaria ikawa inarudi pale pale
Hivyo kuna dr mmoja akanishauri kuwa nitumie dawa mseto za malaria amabazo huwa ni bure japo watu wengi wanazizarau na wengine wanaziogopa sababu ya wingi wa vidonge lakini akanambia kuwa ni nzuri sana na zitaleta matokeo mazuri,
Hivyo baada ya kuzitumia mwaka 2015 leo hii natimiza mwaka wa 3 bila kuugua malaria na ukizingatia mimi ni mfanyakazi nnaefanya kazi usiku na mchana na mazingira ya usiku yana mmbu wa kutisha lakini hadi leo hii malaria haijanirudia mwaka wa tatu huu
Na hii sio promo cz dawa zenyewe ni bure tu, ni ushuhuda tu na ushauri... Asanteni