Baada ya kuvisha pete ya uchumba, Chidy Design amkana Wolper

Nikiwa na wewe kwenye mkokoteni ukapata klugger ukaniacha nakuendea kukuroga [emoji56][emoji56][emoji56]
Tukianzia kwenye Mkokoteni na tukafika wote kwenye Bodaboda aiseeh mimi sikuachi, labda uniache wewe!!
Sasa fikiria tukifika kwenye Klugger.. Hapo ndo hata uniache sikuachi. Nakuwa Kupe, Kiroboto, Gundi King'ang'anizi haswa kama ngozi yako mwilini inavyo kung'ang'ania vile.
Stuck and glued to you [emoji1787] mpaka account ya JF nakupa password.
 
Reactions: amu
Hivi story ya Young Killer na huyu Wolper ni kweli?
 
Hapana sio pesa pekee, mwanaume tu anayejielewa , kuna wanaume na wavulana, sasa kwa umri wa wolper sio wa kudate na wavulana , atafute size yake au hata akipata Dogo Dogo , wawe wanaeleweka basi
Mwanaume mashine,pesa ni mbwembwe tu.
 
A year later ana mpenzi mwingine na mtoto wa miezi kama mitatu na pete nyingine pia. Bongo kweli watu hawachelewi!
 
Pete ya NNE hii,kuanzia Dallas,raj,chidy now rich mitindo
 
Nasikia kalia mpaka kagalagala ,ila bongo movie Mungu anawaona, sijui pete yangu hii kavalishwa.
 
Nimekuelewa sana huyu mkuu,,,anamaanisha alimuona live ni tofauti na picha za kwnye mitandao,,,nakubaliana moja kwa moja na wewe mkuu..wapo watu photo editor picha zinawabeba
Wewe unajuwa kuandika? Au unaandikiwa na aliyekupakata?

Endelea kuumizwa sehem zako za siri.
 
Ushawahi kuona lulu anadate na wanaume wa ajabu ajabu? , sasa hvi katulia na mchumba wake wanalea watoto... very respectful relationship
lulu na mamake wote washawah kukazwa na jamaa mmoja wa tbt anaitwa john mangi, wote ni wale wale sema tu mmoja kaolewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…