Shishi funga kazi.....alifanya maamuzi ya busara
Tukianzia kwenye Mkokoteni na tukafika wote kwenye Bodaboda aiseeh mimi sikuachi, labda uniache wewe!!Nikiwa na wewe kwenye mkokoteni ukapata klugger ukaniacha nakuendea kukuroga [emoji56][emoji56][emoji56]
Nafikiri ile reality TV show imebuma maana iliandaliwa kwa mbwembwr ArushaNilifikir peke yangu ndo naliona hilo! Labda anaandaa kiki ya kuja nayo.
Hahahah binamu inabidi uninunulie soda[emoji1787][emoji115]Wewe ni mbwa[emoji23][emoji23][emoji23], nimecheka had nimejamba, halafu unajua mtu unaweza kudhani ni ukwel Ujue maana sio kwa kupenda watu wa aina hiyo kwa kwel
Mkuu una uhakika?Sivyo, unajua wolper akifukuzwa shule kwa sababu ya usagaji, hivyo anapenda kunywonywa k na nani wa kumnyonya kama si vivulana kama huyo fundi! Cc miss chagga
Anakuwaga bwax huyo[emoji28]Mwamba unatukana sana ujue.
Na real life uko hivyo? Huwa nikisoma maandishi yako kuna wakati nashangaa sana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28]wanakuotaKwahio mnaniwaza sio?
Ila hawa female celebrities wetu wanachezewa sana na wanaume, hasa walioabove 30's
Tupeni na updates za kina uwoya
Mwanaume mashine,pesa ni mbwembwe tu.Hapana sio pesa pekee, mwanaume tu anayejielewa , kuna wanaume na wavulana, sasa kwa umri wa wolper sio wa kudate na wavulana , atafute size yake au hata akipata Dogo Dogo , wawe wanaeleweka basi
Wewe unajuwa kuandika? Au unaandikiwa na aliyekupakata?Nimekuelewa sana huyu mkuu,,,anamaanisha alimuona live ni tofauti na picha za kwnye mitandao,,,nakubaliana moja kwa moja na wewe mkuu..wapo watu photo editor picha zinawabeba
lulu na mamake wote washawah kukazwa na jamaa mmoja wa tbt anaitwa john mangi, wote ni wale wale sema tu mmoja kaolewaUshawahi kuona lulu anadate na wanaume wa ajabu ajabu? , sasa hvi katulia na mchumba wake wanalea watoto... very respectful relationship
Duh...teh tehlulu na mamake wote washawah kukazwa na jamaa mmoja wa tbt anaitwa john mangi, wote ni wale wale sema tu mmoja kaolewa
Umemsahau yule mkongo, nae alimvisha petePete ya NNE hii,kuanzia Dallas,raj,chidy now rich mitindo