Baada ya Kuvutiwa na Uteuzi wa Mwanza, najiandaa Kufungua huko Kiwanda Kikubwa cha Vibiriti

Baada ya Kuvutiwa na Uteuzi wa Mwanza, najiandaa Kufungua huko Kiwanda Kikubwa cha Vibiriti

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Na kutokana na Uwingi wa Watu kwa sasa Mkoani Mwanza huku Mahitaji yakiwa mengi na Masoko Kuongezeka hasa Soko Kuu ili Kujikinga na Mabalaa yasiyotarajiwa ( hasa Moto ) naishauri Serikali kuanzia leo iongeze Gari za Zimamoto Mkoani Mwanza.
 
Na GENTAMYCINE nitatoa Elimu ya bure juu ya Kuwasha Kibiriti ili Kuunguza Nguo, Mbao na hata Matofali ili yaungue kabisa.

Naomba Ushirkiano wenu katika kuja Kununua hivyo Vibiriti kwa Kampuni ambayo naenda Kuianzisha Mkoani Mwanza Usukumani.
 
Na GENTAMYCINE nitatoa Elimu ya bure juu ya Kuwasha Kibiriti ili Kuunguza Nguo, Mbao na hata Matofali ili yaungue kabisa.

Naomba Ushirkiano wenu katika kuja Kununua hivyo Vibiriti kwa Kampuni ambayo naenda Kuianzisha Mkoani Mwanza Usukumani.
Una maana ni kweli pedeshee ndiye mchoma masoko yetu..!?
 
Back
Top Bottom