GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
😁😁Akikujibu nishtueUnavaa chupi imetoboka alafu unasema unakwenda kuanzisha kiwanda cha kiberiti labda bwana ako ndio akuanzishie
Hawezi kijibu😁😁Akikujibu nishtue
Una maana ni kweli pedeshee ndiye mchoma masoko yetu..!?Na GENTAMYCINE nitatoa Elimu ya bure juu ya Kuwasha Kibiriti ili Kuunguza Nguo, Mbao na hata Matofali ili yaungue kabisa.
Naomba Ushirkiano wenu katika kuja Kununua hivyo Vibiriti kwa Kampuni ambayo naenda Kuianzisha Mkoani Mwanza Usukumani.