Baada ya kuwatuliza Gen Z, mfalme wa siasa za Kenya Dr. William Ruto aanza tena siasa za majukwaani na ni dhahiri atashinda tena Urais 2027

Baada ya kuwatuliza Gen Z, mfalme wa siasa za Kenya Dr. William Ruto aanza tena siasa za majukwaani na ni dhahiri atashinda tena Urais 2027

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Washirika wake wa chama chake cha UDA na Muungano wa KENYA KWANZA maseneta, wabunge na magavanor bado wanamuona ni mtu pekee na muhimu zaidi katika kuwaunganisha wa Kenya na kuwaletea maendeleo endelevu katika maeneo yao. Wana Imani nae sana licha ya vijana kutaka ang'atuke mamlakani.

Sambamba nae, kinara wa ODM Raila Amolo Odinga na Muungano wa AZIMIO LA UMOJA-ONE KENYA COALITION nao hivi sasa wanaambatana na Rais William Ruto katika matukio mbalimbali ya kitaifa, majuzi wakijumuika katika hafla ya utiaji saini mabadiliko ya sheria ya tume Huru ya Uchaguzi kenya IEBC, lakini pia jana wakijumuika pamoja huko Kajiado wakati wa uzinduzi wa mtandao wa kusambaza umeme wa Kimuka Power Substation huko Kajiado, mradi ambao utaleta ahuweni na kusogeza huduma za uhakika stima kwa wananchi wengi zaidi katika maeneo hayo na mengine ya jirani.

Ni dhahiri muunganiko wa miungano hii hasimu ya kisiasa itadhoofisha vuguvugu la gen z na kuwagawanya, na hivyo kufanya utawala wa Ruto kuwa rahisi kuchukua udhibiti thabiti wa vuguvugu hilo ambalo lilijizolea umaarufu mkubwa, na lakini kwasasa taratibu likipoteza umaarufu, malengo na uelekeo, huku likijivika sura ya kihalifu.

Rais William Ruto amelaumu, kuyanyooshea kidole na kuyaonya mataifa ya magharibi kufadhili na kuchochea vuguvugu la gen z, kuleta fujo na kusababisha uharibifu na kuvuruga amani Kenya na kwamba Taifa lake na uongozi wake uko makini sana hawatafanikiwa.

Unadhani anazilenga nchi gani hasa za magharibi, kwamba ndio wafadhili wa kuu wa gen z, kupitia mahasimu na watangulizi wake kisiasa?🐒
 
Kenya si mshirika muhimu wa NATO? hzo nchi za magharibi n zipo anazo zishutumu?
nataman kuzifahamu pia,
nadhani safari nzito na muhimu sana aliyoifanya kule United States of America kwa Mzee Biden, inaweza kua imewaghadhabisha hao wamagharibi anao washutumu kuwafadhili vijana kuchochea fujo nchini mwake 🐒
 
Point of correction, Mfalme wa Siasa za Kenya ni BABA, ndio maana Ruto kafanya juu chini kumsogeza + kusaini hii sheria mpya ya Tume ya Uchaguzi
si unaelewa tena kwenye medani za siasa ukitaka kummaliza kabisa adui yako mlete karibu yako, mpe kila anachotaka hususani ngawira, ajisahau kabisa, kisha kazi yake kwenye majukwaa ya kisiasa inakua imeisha....
si unajua ukiwa unachakula mdomoni huwez kuongea ee. Table manners must be observed...🐒

hata hivyo nakubaliana nawe kwamba Raila anaweza kua ndie mfalme wa siasa za Kenya kwa namna ya siasa zake,

nadhani Ruto ni mwana mapinduzi wa siasa za Kenya 🐒
 
Raila seems to be unkwepable political personality.

Kuna wengine wanadai mfadhili wa Genezies kufanya fujo na maandamano ni mkakati walioubuni Ruto na Raila ili kuwalainisha wafuasi wake wanaopinga umoja huo.

Kwa maneno mengine create a necessary chaos as a means to achieving your goal.

Bila hizo purukushani muungano wa Raila na Ruto ungeonekana ni usatili na udhaifu kwa upande wa Ruto.
 
Raila seems to be unkwepable political personality.

Kuna wengine wanadai mfadhili wa Genezies kufanya fujo na maandamano ni mkakati walioubuni Ruto na Raila ili kuwalainisha wafuasi wake wanaopinga umoja huo.

Kwa maneno mengine create a necessary chaos as a means to achieving your goal.

Bila hizo purukushani muungano wa Raila na Ruto ungeonekana ni usatili na udhaifu kwa upande wa Ruto.
sure,
because in politics nothing happens out of mere coincidence, everything is normally well planned, organized scripted, and executed in order to achieve a certain political objectives 🐒

that one can also be their political game plan...
 
wa tz akili nyepesi mtaji mzuri sana kwa ccm... kule watu wanatambua haki zao hawategemei uchawa kwa raisi
inamaana wewe hutambui haki zako kweli? kwan wao waweze wana nini na wengine washindwe wana nini ?🐒
 
Jidanganye, hapo kumuomba mzee Odinga ujue tu maji yako shingoni. Gen Z usiwachukulie poa. Wanaweza toa Raisi wao na ukabaki washangaa
kwa migawanyiko waliyogawanyika nayo, labda wanaweza kumtamtoa raisi wa chama cha mpira wa kikapu 🐒
 
Washirika wake wa chama chake cha UDA na Muungano wa KENYA KWANZA maseneta, wabunge na magavanor bado wanamuona ni mtu pekee na muhimu zaidi katika kuwaunganisha wa Kenya na kuwaletea maendeleo endelevu katika maeneo yao. Wana Imani nae sana licha ya vijana kutaka ang'atuke mamlakani.

Sambamba nae, kinara wa ODM Raila Amolo Odinga na Muungano wa AZIMIO LA UMOJA-ONE KENYA COALITION nao hivi sasa wanaambatana na Rais William Ruto katika matukio mbalimbali ya kitaifa, majuzi wakijumuika katika hafla ya utiaji saini mabadiliko ya sheria ya tume Huru ya Uchaguzi kenya IEBC, lakini pia jana wakijumuika pamoja huko Kajiado wakati wa uzinduzi wa mtandao wa kusambaza umeme wa Kimuka Power Substation huko Kajiado, mradi ambao utaleta ahuweni na kusogeza huduma za uhakika stima kwa wananchi wengi zaidi katika maeneo hayo na mengine ya jirani.

Ni dhahiri muunganiko wa miungano hii hasimu ya kisiasa itadhoofisha vuguvugu la gen z na kuwagawanya, na hivyo kufanya utawala wa Ruto kuwa rahisi kuchukua udhibiti thabiti wa vuguvugu hilo ambalo lilijizolea umaarufu mkubwa, na lakini kwasasa taratibu likipoteza umaarufu, malengo na uelekeo, huku likijivika sura ya kihalifu.

Rais William Ruto amelaumu, kuyanyooshea kidole na kuyaonya mataifa ya magharibi kufadhili na kuchochea vuguvugu la gen z, kuleta fujo na kusababisha uharibifu na kuvuruga amani Kenya na kwamba Taifa lake na uongozi wake uko makini sana hawatafanikiwa.

Unadhani anazilenga nchi gani hasa za magharibi, kwamba ndio wafadhili wa kuu wa gen z, kupitia mahasimu na watangulizi wake kisiasa?🐒

View: https://twitter.com/Kenyans/status/1811300814037623293?t=UIN3NuTbwDjaBe8bi9Mmzg&s=19
 

huyu Dp RigyG hana ushawishi wa maana nje ya home county yake ya Nyeri, huko alikowahi kua muwakilishi wao bungeni..

hakuna athari zozote atakazo zisababisha na zitakazomdhoofisha Dr.Ruto kuchaguliwa tena kua Rais wa Kenya kwa muhula wa pili...

Juzi wakati wa hafla ya kusaini mabadiliko ya sheria ya uchaguzi na tume ya IEBC, kiongozi wa wengi bungeni mh. Kimani Ichung'wa mbunge wa Jimbo la Kikuyu, alimuhumiliate kwa kuvunja protocol, baada ya kumkaribisha raila badala ya Dp, ili aseme machache na kumkaribisha Rais...
hii inamaanisha hata watu wa kabila na regional yake hawamkubali....

na by the way,
hayuko wa kumshinda Ruto mjanja mwenye dollar, sio Raila, sio kalonzo au mwingine yeyote, na hata wakiungana...

hayo ni maoni yangu kwa nionavyo mim siasa za Kenya zinavyokwenda 🐒
 
Washirika wake wa chama chake cha UDA na Muungano wa KENYA KWANZA maseneta, wabunge na magavanor bado wanamuona ni mtu pekee na muhimu zaidi katika kuwaunganisha wa Kenya na kuwaletea maendeleo endelevu katika maeneo yao. Wana Imani nae sana licha ya vijana kutaka ang'atuke mamlakani.

Sambamba nae, kinara wa ODM Raila Amolo Odinga na Muungano wa AZIMIO LA UMOJA-ONE KENYA COALITION nao hivi sasa wanaambatana na Rais William Ruto katika matukio mbalimbali ya kitaifa, majuzi wakijumuika katika hafla ya utiaji saini mabadiliko ya sheria ya tume Huru ya Uchaguzi kenya IEBC, lakini pia jana wakijumuika pamoja huko Kajiado wakati wa uzinduzi wa mtandao wa kusambaza umeme wa Kimuka Power Substation huko Kajiado, mradi ambao utaleta ahuweni na kusogeza huduma za uhakika stima kwa wananchi wengi zaidi katika maeneo hayo na mengine ya jirani.

Ni dhahiri muunganiko wa miungano hii hasimu ya kisiasa itadhoofisha vuguvugu la gen z na kuwagawanya, na hivyo kufanya utawala wa Ruto kuwa rahisi kuchukua udhibiti thabiti wa vuguvugu hilo ambalo lilijizolea umaarufu mkubwa, na lakini kwasasa taratibu likipoteza umaarufu, malengo na uelekeo, huku likijivika sura ya kihalifu.

Rais William Ruto amelaumu, kuyanyooshea kidole na kuyaonya mataifa ya magharibi kufadhili na kuchochea vuguvugu la gen z, kuleta fujo na kusababisha uharibifu na kuvuruga amani Kenya na kwamba Taifa lake na uongozi wake uko makini sana hawatafanikiwa.

Unadhani anazilenga nchi gani hasa za magharibi, kwamba ndio wafadhili wa kuu wa gen z, kupitia mahasimu na watangulizi wake kisiasa?🐒
Chawa wa mama wa Kizimkazi unajisikiaje kuona wenzenu huko Kenya wakifanikisha kuwafurusha mafisadi?
 
Back
Top Bottom