Kapata wapi
mmmh...huyu lady jay dee sasa napata nae mashaka na hizo hela zake za gafla,mtu anaetafuta pesa takatifu huwa hajionyeshi maisha yake kwenye mitandao ya kijamii,cku zote pesa halali uwa inaongea yenyewe pasipo mmiliki wa hiyo hela kuongeaKatika kuonyesha jeuri ya fedha, mwanamuziki lady jaydee baada ya kununua mkoko wake mpya wa bei mbaya, sasa kaamua kuukarabati mgahawa wake kwa kubomoa mgahawa huo na kuamua kuutengeneza upya.
Hizi ni baadhi ya picha za nyumbani lounge baada ya kubomolewa na alichokiandika lady jaydee kwenye mtandao wa instagram.
Nondo na sululu za kubomolea Nyumbani Lounge; au nimekosea?!kapata wapi nini mkuu?
hongera zake binti komando,waonyeshe hao ma bongo movie kuwa mafanikio hayapatikani kwenye sembe tu,bali mipango madhubuti na kuweka mbele jitihada halali.
Umejuaje kama sio za sembe? Kwani na yeye hajatokea kwa ruge?
Nondo na sululu za kubomolea Nyumbani Lounge; au nimekosea?!
Ngoma ikipigwa sana mwisho wake ni kupasuka,muda utafika
Eti kamuoa G.Habash
mmmh...huyu lady jay dee sasa napata nae mashaka na hizo hela zake za gafla,mtu anaetafuta pesa takatifu huwa hajionyeshi maisha yake kwenye mitandao ya kijamii,cku zote pesa halali uwa inaongea yenyewe pasipo mmiliki wa hiyo hela kuongea