Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
mkuu nakutabiria utakufa kifo kibaya sanaHuyo JPM angekuwa anafanana na mnavyomuandika basi asingekufa.
Kwa sisi wakazi wa Dar es Salaam miaka yote 5 ya Mwendazake umeme ulikuwa unakatika kwa kiwango hiki hiki cha wakati wa Samia
Ushahidi: Tafuta kauli za Kalemani akiwakaripia wafanyakazi wa TANESCO kwenye Google
Ni imani yangu kuwa mifumo imara aliyoiunda kama ipo ndiyo itakayofanya kazi.JPM aliwahi kujitabiria kwamba watanzania watamkumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya.
Hii katakata ya umeme hapa Iringa manispaa ambako tangu JPM afariki naona imekuwa kawaida kila siku umeme unakatwa, tena bila taarifa yoyote. Kata kata hii ilipigwa marufuku kipindi cha JPM na kauli yake mashuhuri kipindi akiwa hai ilikuwa "yeyote atakayekata umeme atakatika yeye" iliwafanya watendaji wa Tanesco kuwa makini muda wote, na ni kweli umeme ulikuwa stable sana enzi za JPM. Hii yote inadhihirisha umuhimu wa kuwa na kiongozi imara pale juu.
Mama Samia chonde chonde usifanye watanzania tummiss JPM zaidi ya ile kawaida. Uliahidi mwenyewe kwamba mazuri ya JPM utayaendeleza lakini tangu umekalia kiti haijasikika sauti yako thabiti juu ya upuuzi puuzi kama huu wa Tanesco kukata umeme mara kwa mara namna hii.
Mkuu relax usiwaige, waachie wao hayo maneno. Sie tuendelee kumtegemea Mungu tu.mkuu nakutabiria utakufa kifo kibaya sana
Acha uzwazwa nadai mita mbili za umeme tangu December. Na pia tangu November wamesitisha kutoa huduma ya Nyongeza ya Luku kwa nyumba iliyo na Luku tayari.Ni kweli japo nilimpinga jiwe kwa mambo mengi Sana ,Ila suala la umeme alilidhibiti.Sahivi panya wa tanesco wanatawala.Hata kuja kukufungia umeme wanadai Hamna mita,Jambo ambalo halikuwepo enzi za mwendazake
Labda kwenu....nilipo mimi umeme ulikuwa unakatwa sana ru...tofauti na sasa.Ni kweli japo nilimpinga jiwe kwa mambo mengi Sana ,Ila suala la umeme alilidhibiti.Sahivi panya wa tanesco wanatawala.Hata kuja kukufungia umeme wanadai Hamna mita,Jambo ambalo halikuwepo enzi za mwendazake
Hiyo wilaya haina jina?Kuna wilaya moja nipo umeme unawaka nusu ya mji tu na kwingine ni kiza nadhani ni siku ya Saba Leo au zaidi.
Matatizo ya umeme kukatikakatika yalianza toka mwaka jana mwezi wa kumi sijajua tatizo nini hata Rais Samia akiwa Makamu wa Rais alisema kukatikakatika umeme sasa basi maneno hayo aliyasema akiwa ziarani Mkoani Tanga tusipende kupotosha vitu bila sababu yoyote ya msingiHizo technical problems ambazo hazikujitokeza kipindi cha JPM ndio zimeanza kujitokeza mara tu baada ya JPM?
Usiwe mchonganishi , karta kada ya TANESCO nimeanza toka JPM anapumua!JPM aliwahi kujitabiria kwamba watanzania watamkumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya.
Hii katakata ya umeme hapa Iringa manispaa ambako tangu JPM afariki naona imekuwa kawaida kila siku umeme unakatwa, tena bila taarifa yoyote. Kata kata hii ilipigwa marufuku kipindi cha JPM na kauli yake mashuhuri kipindi akiwa hai ilikuwa "yeyote atakayekata umeme atakatika yeye" iliwafanya watendaji wa Tanesco kuwa makini muda wote, na ni kweli umeme ulikuwa stable sana enzi za JPM. Hii yote inadhihirisha umuhimu wa kuwa na kiongozi imara pale juu.
Mama Samia chonde chonde usifanye watanzania tummiss JPM zaidi ya ile kawaida. Uliahidi mwenyewe kwamba mazuri ya JPM utayaendeleza lakini tangu umekalia kiti haijasikika sauti yako thabiti juu ya upuuzi puuzi kama huu wa Tanesco kukata umeme mara kwa mara namna hii.
Usipate taabu watakuja wawekezaji kumaliza tatizo...sasa tumefungua milango kwa wawekezajiJPM aliwahi kujitabiria kwamba watanzania watamkumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya.
Hii katakata ya umeme hapa Iringa manispaa ambako tangu JPM afariki naona imekuwa kawaida kila siku umeme unakatwa, tena bila taarifa yoyote. Kata kata hii ilipigwa marufuku kipindi cha JPM na kauli yake mashuhuri kipindi akiwa hai ilikuwa "yeyote atakayekata umeme atakatika yeye" iliwafanya watendaji wa Tanesco kuwa makini muda wote, na ni kweli umeme ulikuwa stable sana enzi za JPM. Hii yote inadhihirisha umuhimu wa kuwa na kiongozi imara pale juu.
Mama Samia chonde chonde usifanye watanzania tummiss JPM zaidi ya ile kawaida. Uliahidi mwenyewe kwamba mazuri ya JPM utayaendeleza lakini tangu umekalia kiti haijasikika sauti yako thabiti juu ya upuuzi puuzi kama huu wa Tanesco kukata umeme mara kwa mara namna hii.
Siku hizi Chadema wapo sambamba na mama na kuna wengine walishatoa matamko kuwa hawatokuja kuipenda Ccm kamwe na mama ni kada mzito ndani ya Ccm sasa unabaki unashangaa na kujiuliza hawa watu vipiNdugu utaambulia matusi na kashfa hapa, hua nawaza hawa sijui ndo wafuasi wapya wa ...... au sijui ni bavicha sijui hata lengo lao ni nn. Hawataki vitu vya kutumia logic kabisa.
MBEYA nako kila siku umeme unakatwa hapo ndipo namkumbuka JPMJPM aliwahi kujitabiria kwamba watanzania watamkumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya.
Hii katakata ya umeme hapa Iringa manispaa ambako tangu JPM afariki naona imekuwa kawaida kila siku umeme unakatwa, tena bila taarifa yoyote. Kata kata hii ilipigwa marufuku kipindi cha JPM na kauli yake mashuhuri kipindi akiwa hai ilikuwa "yeyote atakayekata umeme atakatika yeye" iliwafanya watendaji wa Tanesco kuwa makini muda wote, na ni kweli umeme ulikuwa stable sana enzi za JPM. Hii yote inadhihirisha umuhimu wa kuwa na kiongozi imara pale juu.
Mama Samia chonde chonde usifanye watanzania tummiss JPM zaidi ya ile kawaida. Uliahidi mwenyewe kwamba mazuri ya JPM utayaendeleza lakini tangu umekalia kiti haijasikika sauti yako thabiti juu ya upuuzi puuzi kama huu wa Tanesco kukata umeme mara kwa mara namna hii.
Ilikuwa marufuku kukatakata umeme kabla ya 17 Machi? Mbona hakuna aliyetuambia sisi? Mbona mitambo hapa Masaki haikuarifiwa?JPM aliwahi kujitabiria kwamba watanzania watamkumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya.
Hii katakata ya umeme hapa Iringa manispaa ambako tangu JPM afariki naona imekuwa kawaida kila siku umeme unakatwa, tena bila taarifa yoyote. Kata kata hii ilipigwa marufuku kipindi cha JPM na kauli yake mashuhuri kipindi akiwa hai ilikuwa "yeyote atakayekata umeme atakatika yeye" iliwafanya watendaji wa Tanesco kuwa makini muda wote, na ni kweli umeme ulikuwa stable sana enzi za JPM. Hii yote inadhihirisha umuhimu wa kuwa na kiongozi imara pale juu.
Mama Samia chonde chonde usifanye watanzania tummiss JPM zaidi ya ile kawaida. Uliahidi mwenyewe kwamba mazuri ya JPM utayaendeleza lakini tangu umekalia kiti haijasikika sauti yako thabiti juu ya upuuzi puuzi kama huu wa Tanesco kukata umeme mara kwa mara namna hii.
Kwa mwaka unafunga mita Mara ngapi mkuu?Ni kweli japo nilimpinga jiwe kwa mambo mengi Sana ,Ila suala la umeme alilidhibiti.Sahivi panya wa tanesco wanatawala.Hata kuja kukufungia umeme wanadai Hamna mita,Jambo ambalo halikuwepo enzi za mwendazake