UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Basi chadema ni tawi la ccm!Nchimbi amefanya nini huko ccm hadi muda huu?
Kaa kimya huna jipya.Basi chadema ni tawi la ccm!
Rudi kwenye hoja ya msingi: lisu amekifanyia nini chama? Acha porojo pembeniKaa kimya huna jipya.
Labda kupigia simu mapolisi ili wazuie maandamano ya kudai watekaji wakamatwe.Nchimbi amefanya nini huko ccm hadi muda huu?
Kaa kimya dogo.Rudi kwenye hoja ya msingi: lisu amekifanyia nini chama? Acha porojo pembeni
Hivi unajua kuwa hata hiyo ruzuku ya CHADEMA ambayo mnaitafuna ni kutokana na kura alizopata kwenye ule uchaguzi kiinimacho wa 2020?Lisu kasema ameifanyia nini chadema kwa miaka yote ya uanachama na uongozi wake? Kijamaa kinajua kupiga porojo hicho !!!
Wewe usiye na majibu ndiyo ukae kimyaKaa kimya dogo.
Post #14 imejibu vizuri sana hii hoja yako.Hivi unajua kuwa hata hiyo ruzuku ya CHADEMA ambayo mnaitafuna ni kutokana na kura alizopata kwenye ule uchaguzi kiinimacho wa 2020?
Nyie TBC inawatoshaNa sisi wa Mapinduzi ya sultan tutahojiwa lini BBC acheni upendeleo....
Ametetea Wabunge Wengi Bure mahakamani akiwemo Esther Bulaya vs Stephen Wassira na kushinda πRudi kwenye hoja ya msingi: lisu amekifanyia nini chama? Acha porojo pembeni
Bwashee naona unachanganya kati ya uanasheria vs uongozi/ uanachama wa chadema.Ametetea Wabunge Wengi Bure mahakamani akiwemo Esther Bulaya vs Stephen Wassira na kushinda π
##Waende hivyo hivyo. Ni vyema kuwafahamu viongozi wetu hawa;Sammy Awami mwandishi nguli wa BBC amepiga hodi Nyumbani Kwa Freeman Mbowe Kwa mahojiano
Sammy Awami ameshamuhoji Tundu Lissu ambaye alisema Kwa Miaka 21 Mbowe ameshindwa kushinda hata Kijiji akipewa miaka 5 atafanya maajabu Gani?
Stay tuned πΌπ
Kwahiyo Unasema Tundu Lisu anaongoza vikao vya nidhamu CHADEMA?Wenje: Makamu Mwenyekiti wa Chadema ni Cheo kidogo sana hakunaga majukumu tangible zaidi ya kuongoza Vikao Vya Nidhamu
InterestingLissu anahitaji adui nyakati zote kuanzia Magufuli, Lipumba,Slaa , Lowassa,Samia,Abdul ,Wenje na sasa Mbowe.
Trouble maker or is shit stirrer?
Akitoka kwa Mbowe arudi kwa Lissu ili ajibu hoja za MboweSammy Awami mwandishi nguli wa BBC amepiga hodi Nyumbani Kwa Freeman Mbowe Kwa mahojiano
Sammy Awami ameshamuhoji Tundu Lissu ambaye alisema Kwa Miaka 21 Mbowe ameshindwa kushinda hata Kijiji akipewa miaka 5 atafanya maajabu Gani?
Stay tuned πΌπ