kidadari
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 8,647
- 9,604
Wakati wananchi wakipaza sauti kulalamikia tozo za miamala ya simu ambayo imeonekana kua mzigo na maumivu kwa wananchi sasa bei ya mbolea imeenda kupaa isivyo kawaida hivyo kuketa taharuki wa wakulima.
Kilimo ndo uti wa Mgongo wa taifa ambapo zaidi ya 70% ya wananchi wanajishughulisha na kilimo.
Bei ya mbolea imepanda gafla zaidi ya 30% jambo lisilo la kawaida ambapo mbolea ya urea iliyokua inauzwa 56,000 sasa imefika 84,000 . Huku Yara, DAP na CAN ikifika 86,000.
Tusuburi maumivu kwa wengi maana hiki kitakua kilio cha pili baada ya Makato ya miamala simu.
Kilimo ndo uti wa Mgongo wa taifa ambapo zaidi ya 70% ya wananchi wanajishughulisha na kilimo.
Bei ya mbolea imepanda gafla zaidi ya 30% jambo lisilo la kawaida ambapo mbolea ya urea iliyokua inauzwa 56,000 sasa imefika 84,000 . Huku Yara, DAP na CAN ikifika 86,000.
Tusuburi maumivu kwa wengi maana hiki kitakua kilio cha pili baada ya Makato ya miamala simu.