Baada ya Mancity kushinda gemu leo, Man united, Chelsea kutandikwa, Man city anakuwa anamuacha anaefuatiwa kwa point 15. Walisema mancity atafungwa tu na tutawakaribia, Swali... Wakati mancity anafungwa wao wanakuwa wanashinda?
Niliwahi kutabiri kuwa Manchester united bado ana gamu ngumu kama vile vile Mancity nae ana gemu ngumu. niliandika wagumu wa man ni hawa
1. Chelsea
2. Hot spur
3. Man City
4. Liverpool
5. Arsenal
Tayari mmoja kashafanya mauaji kamtandika mbili mtungi. na hao waliobakia hataweza kuwafunga wote, anaweza ashishinde mechi 3.