Baada ya manji kujiuzuru yanga.

unaongelea njaa gani? Kama ubingwa Yanga ilishakuwa bingwa kabla ya Manji, Yanga ilikuwepo kabla ya Manji na itazidi kuwepo, Yanga ni y wanachama. Tunashukuru Manji alikuwa na mchango mkubwa katika club kama kiongozi na kama mwanachama .

"Daima mbele, nyuma mwiko"
 
soma hilo jedwali ulilowekewa na mdau, halafu uje utuambie kipindi hiko Manji alikuwa mwenyekiti wa yanga sc ?
 
Yanga ilikuwepo kabla ya Yusuf Manji na itaendelea kuwepo baada ya Yusuf Manji..

Over..
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mie maneno mawili tu bdo katoa jadwali zima la majibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…