Baada ya mapumziko mafupi Chadema kuendeleza 255 Operesheni Katiba Mpya Okoa Bandari Zetu kanda ya Serengeti 25/08/2023!

Baada ya mapumziko mafupi Chadema kuendeleza 255 Operesheni Katiba Mpya Okoa Bandari Zetu kanda ya Serengeti

Tarehe 25/8/2023 watakuwa Shinyanga Mjini kwa mh Patrobas Katambi

Mlale unono πŸ˜€πŸ˜€
huko vipi kuna bandari?
 
Watamtampisha nyongo Sa100 hawa watu.. eti huku TEC, kati CDM, kushoto Mwambukusi, kulia Dr. Slaa, kusini Watanganyika na Kaskazini Diaspora
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…