J johnthebaptist JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 97,869 Reaction score 171,716 Aug 20, 2023 #1 Baada ya mapumziko mafupi Chadema kuendeleza 255 Operesheni Katiba Mpya Okoa Bandari Zetu kanda ya Serengeti Tarehe 25/8/2023 watakuwa Shinyanga Mjini kwa mh Patrobas Katambi Mlale unono ππ
Baada ya mapumziko mafupi Chadema kuendeleza 255 Operesheni Katiba Mpya Okoa Bandari Zetu kanda ya Serengeti Tarehe 25/8/2023 watakuwa Shinyanga Mjini kwa mh Patrobas Katambi Mlale unono ππ
R Retired JF-Expert Member Joined Jul 22, 2016 Posts 44,629 Reaction score 83,056 Aug 20, 2023 #2 johnthebaptist said: Baada ya mapumziko mafupi Chadema kuendeleza 255 Operesheni Katiba Mpya Okoa Bandari Zetu kanda ya Serengeti Tarehe 25/8/2023 watakuwa Shinyanga Mjini kwa mh Patrobas Katambi Mlale unono ππ Click to expand... huko vipi kuna bandari?
johnthebaptist said: Baada ya mapumziko mafupi Chadema kuendeleza 255 Operesheni Katiba Mpya Okoa Bandari Zetu kanda ya Serengeti Tarehe 25/8/2023 watakuwa Shinyanga Mjini kwa mh Patrobas Katambi Mlale unono ππ Click to expand... huko vipi kuna bandari?
Tate Mkuu JF-Expert Member Joined Jan 24, 2019 Posts 33,092 Reaction score 96,127 Aug 20, 2023 #3 Mzee Mgaya siku hizi umekuwa Ofisa Habari na Mawasiliano wa CHADEMA!
K Kumakwe JF-Expert Member Joined Oct 11, 2018 Posts 380 Reaction score 467 Aug 20, 2023 #4 Retired said: huko vipi kuna bandari? Click to expand... Ipo bandari kavu Isaka
S SUTAGI- JF-Expert Member Joined Nov 9, 2018 Posts 278 Reaction score 515 Aug 20, 2023 #5 Watamtampisha nyongo Sa100 hawa watu.. eti huku TEC, kati CDM, kushoto Mwambukusi, kulia Dr. Slaa, kusini Watanganyika na Kaskazini Diaspora
Watamtampisha nyongo Sa100 hawa watu.. eti huku TEC, kati CDM, kushoto Mwambukusi, kulia Dr. Slaa, kusini Watanganyika na Kaskazini Diaspora