The unpaid Seller
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 2,113
- 6,251
.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ntamrudisha mkuu, mimi mwenyewe nime mmiss sana sana hata huo muda niliopanga sidhani kama utatimiaMrudishe sasa sio ujifanye kiburi atokee wa kumshawishi vinginevyo. Trust me ni suala la ushawishi tu. Kama amejirudi usimpe sababu ya kumpa nafasi mtu wa kumpa faraja kwa stress unazompa. MRUDISHE NYUMBANI MKEO.
Karibu derevaSeat ya mbele....
Safi. Maisha haya ukipata nafasi ya kuburudika burudika.Ntamrudisha mkuu, mimi mwenyewe nime mmiss sana sana hata huo muda niliopanga sidhani kama utatimia
Sasa kama ni hivyo mbona ni wewe unayehangaika mpaka umeileta hapa? Kwa hali ya kawaida yeye mwenye shida ndio angeleta mada hapa kulalamika, lkn ajabu wewe ndiye unayelia lia hapa halafu unasema eti anakutafuta, ingekuwa kweli huyo Demi ndio angeanzisha uzi hapa kuomba ushauri, …
Bado sijaona kosaMiezi 3 iliyopita alinikera sana kwa kauli mbaya na drama, vurugu ili mradi hakuna utulivu nikawa namtazama tu napotezea ikafika hatua akaota mapembe analeta kauli juu yangu, nikasema yatosha nikamrudisha kwao afu nikaleta house girl.
Na akirudi nitaburudika sana kwa utulivu alionao sasa yani zile nye nye nye hua zinaniondolea amani kabisaSafi. Maisha haya ukipata nafasi ya kuburudika burudika.
Uhamuzi✖️Una uhakika na uhamuzi wako mkuu?
Mkuu kila ndoa iko tofauti kama ambavyo watu tuko tofauti wafupi kwa warefu, weusi kwa weupe nk.Sawa bwana umeshinda. Ila nina tatizo moja apo kwenye mbususu ya kujipimia mi sijaoa ila mbona naskiaga kuna mda wanakataaga, mara wakalale sebleni, wajifanye wanaumwa, aseme kachoka au sio ya kweli haya
Mkuu yeye hatumii JF hayupo humu yeye ni mtu wa Quara na twitter
Mkuu vp jimama wako anaendeleajeUna uhakika na uhamuzi wako mkuu?
Hapana tangu aende kwao hajawa mtu wa mitandaoni tena jambo ambalo pia linanivutia maana twetter ilikua kama maji ya kunywa kwake nikupost magauni nila dakika ila tangu kaondoka na twetter timeline handle yake imekua domant kabisaBasi labda analalamikia huko kama wewe hapa!
Nakazia swaliMkuu vp jimama wako anaendeleaje
Mwanao vp?
Mtu anayetumia Quora ni rahisi sana akawa JF. Quora ni ya kijanja juu ya JF na trust me huyo tuko naye humuMkuu yeye hatumii JF hayupo humu yeye ni mtu wa Quara na twitter