Baada ya mgomo, wanafunzi STEMMUCO(SAUT-Mtwara) wasimamishwa masomo

Mgwadila

Member
Joined
Apr 18, 2014
Posts
60
Reaction score
12
Wanafunzi hao wamepewa barua zilizokariri kuvunjw kwa sheria za chuo kwa maandamano yaliyofanywa tar 29/5 mwaka huu kushinikiza kupewa hela zao za mkopo. wanafunzi hao wamesitishiwa masomo kwa siku 7 ambapo watakwenda kuhojiwa na kamati ya maadili na mwisho kusubiri SENATE kujadili utetezi wao!
 

Inamaana wanafunzi wote wanahojiwa?
 
Nawahurumia sana hao vijana. Kwenye vyuo vya Mrumi hakuna mgomo wala maandamano. Chuo kinaweza kufutwa na baada ya taratibu ikafunguliwa dispensary wala siyo hospitali ktk majengo hayo hayo!
 
Nawahurumia sana hao vijana. Kwenye vyuo vya Mrumi hakuna mgomo wala maandamano. Chuo kinaweza kufutwa na baada ya taratibu ikafunguliwa dispensary wala siyo hospitali ktk majengo hayo hayo!

Ha ha ha ha....Kuna watu wanacheza na taasisi za kanisa Katoliki sana...
 
Ni kwel mrumi mbabe,ila hakuna hata kitu kimoja tulichoharibu,sis tulitoka kwenda kwa mkuu wa mkoa tu,
 
Ni kwel mrumi mbabe,ila hakuna hata kitu kimoja tulichoharibu,sis tulitoka kwenda kwa mkuu wa mkoa tu,

aisee poleni sana ndio hivyo haki haiombwi ila inadaiwa na wale walio baki wajiandae kwa kunji muda wowote nyie mkitimuliwa
 
Potelea mbali,degree yetu kasoro mwez mmoja tutaitumia mtaani!
 
Potelea mbali,degree yetu kasoro mwez mmoja tutaitumia mtaani!

Usiseme hivyo,omba mambo yawe tofauti!

Nimesoma Saut Mwanza enzi za mkuu wa chuo alikua Dr Kitima,ilikua ni ubabe kwa kwenda mbele,kuna wasabato waligoma kupiga paper jumamosi,kidogo wafukuzwe,walipiga magoti kuomba wafanye paper moja next academic year!!

Nakumbuka kipindi hicho vyuo vikuu vilikua chini ya wizara ya sayansi na tech,waziri alikua Peter Msola,boom lilichelewa kutua kwa warumi,warumi wakatunyima no za examz,tulimtwangia phone Msola kuomba msaada,akasema mwambie mkuu awape no!!

Tukaenda kwa kitima,tukasema tumeongea na Msola kasema utupe no serikali watalipa pesa baadae!!

Alichukua simu,akampigia Msola,akamwambia no siwapi wateja wenu,akasema hapa Tanzania anapokea order toka kwa Kardinali Pengo tu!!

Baadae kabisa ndo akatupa no, baada ya Pengo kuongea nae!!

Kuna wengine walifukuzwa mwaka 2012,bado week moja paper za second semester mwaka wa tatu!!

Walishafukuza wanafunzi wote,nyegezi seminar,akafanya paper mwanafunzi mmoja tu,sikumbuki ni form four au six!!

Mkuu warumi ni dora kamili,muulize Fr Dr (Hons) Aidan Msafiri kilichomtoa mwanza na kuletwa mtwara! Muulize Askofu Kilaini kilichomtoa Dar Es Salaam na kupelekwa Bukoba!!
 
Umeniogofya mkuu,inawezekana mambo yakawa mabaya zaid
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…